Nina uhakika kwa hili la 'Freeman' hivi sasa wana CHADEMA wote wanampenda 'Mama' na 2025 wote watampigia 'Kura' zao aendelee kuwa Rais wa Kusamehe TZ


Usiweke guarantee kwenye siasa utapata ugonjwa wa Moyo. Baada ya Lissu kukutana na Rais ubelgiji watu wakadaia ameufyata. Lakini mahakama ilipotoa maamauzi ya kesi ya kujibu Lissu alimkandia mama watu wakashangaa.
 

..tutachagua MTANGANYIKA.

..Waznz wasubiri kudra za Mwenyezi Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…