Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Siwezi kuwa na mke wa mtu aisee, kwangu ni udhaifu mkubwa sana.yaan naona ni sawa na kuvunja na kuiba nyumbani kwa mtu.i always smell death...!!
Ukiwa na mke wa mtu utanielewa mkuu
 
Nadhan kifo tu ndo kitakutenganisha na uyo mchepuko...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kushikishwa ukuta Yan kupumuliwa kisogon...sema dogo kapenda hivyo nae hataki kuwewesekea penzi lake.Hitimisho ninyi mnatakiwa kufumaniwa mpigwe mawe Hadi mfe
 
Tatizo mnaangalia Jambo moja tu,watu mkishakuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu kuna vitu vingi mnafanya si ngono tu. Kwenye maelezo yangu nimeeleza vizuri tu,nipo na huyu dada miaka 3 na nilikuwa naye zaidi ya miaka 2 kabla hajaolewa. Hebu jaribu kuwa reality mkuu,mtu ambaye upo naye kwenye uhusiano kwa miaka 3 siyo Jambo dogo ingawa mm sikuwa na mpango wa kumuoa.

Lkn ni wazi nimefanya naye vitu vingi,nimemsomesha chuo,nikamsaidia kupata kazi,nilimfungulia biashara na kiukweli kabisa tulikuwa tunapendana wala sifichi ktk hili. Pamoja na kwamba ni mchepuko lkn nilikuwa nampenda. Kwa sababu hata ktk yale niliyomfanyia hajaniangusha,amemudu kusimamia biashara vizuri,na anaendelea na kazi. Lkn tangu ameolewa pamoja na kuendelea naye,lkn sina Amani na uhusiano wetu nimekuwa mnyonge ktk hili. Na nimeshajaribu kuchukua hatua mara nyingi lkn ndo km hivyo inashindikana. Hapa tupo kwao kwa mama yake,na bahati nzuri nipo na member wa hapa jamvini,km atajisikia kuwapa mrejesho atawaambia ugumu wa hii issue.

Hv tunavyoongea,kwa msimamo wangu niliouonyesha demu hataki tena kurudi kwa yule mwanaume. Anasema hii ndoa itamletea mkosi,amesema me km naamua kumuacha na yy kuanzia ss hv anasubiri talaka. Nna rafiki yangu wa kike na ni member wa hapa,yy mwenyewe amejitahidi kadri awezavyo lkn dem hataki. Sisi tumetoka hapo kwa sasa,maana mwanaume kapigiwa simu mbele yetu na alichoambiwa lazima atakuwa anakuja ukweni.
Mkuu nakushauri fumba macho weka roho ngumu na mwambie kabisa kama akiachana na mmewe asikujue saidia iyoo ndoa isivunike naamini una nguvu ya kufanya ivyoo okoa iyo ndoa alafu Anza kumuacha taratibu
 
Mkuu sifanyi utani hapa ukweli kabisa hiii hali inanisumbua sana...kweli kabisa natamani kumuacha huyu dada,shida iliyopo kwanza ni mazoea,kumbuka ameolewa nikiwa naye. Ujue tuna mazoea yale ya ndani kabisa,masikhara upendo hata km wa kitapeli lkn ndo maisha yetu. So kuna wakati namkazia lkn anaondoka kwa mumewe anaenda kwa mama yake. Na huko mama atanisumbua balaa! Mama huyo ndo mtoto wake wa pekee! Huwa hapendi kabisa kumuona mwanaye akiwa hana furaha. Na nna heshimiana sana na mama...na ukimwambia issue ya kumuacha anakuambia bora yeye aondoke kwa mwanaume.
Hata kama umetudanganya kidogo, kisa chako kinafanana na rafiki yangu tunafanya nae kazi. Alikuwa na mahusiano na binti na yule binti kaolewa baada ya jamaa kumhakikishia kuwa hatamuoa. Walinuniana sana tu lkn baadae binti akarudi kwao kwa wazazi akaja hana hata chembe ya aibu akamwambia jamaa kuwa asipomkubalia harudi kwa mumewe jamaa akalazimika kukubali.
Kwa sasa mpk sielewi ni mke wa nani maana anaenda kwa anakaa siku tatu anarudi kwa jamaa analala na anapika.

NYIE WANAUME KUPIGIWA INAUMA SANA MUNGU ANAWAONA.
 
Back
Top Bottom