Ushapata jina lake????Pole sana jamani! Hili yendo ukifanya bila mahikemshike wa hamu linakja karaha. Kuna bubble gum flani niliziona sehemu za kuingeza hamu kwa mwanamke... Nikipata jina ntakuletea. Zinauzwa sana siku izi.
Ni swali zuri mkuu halina kasoro jibu litamsaidia katika ushauriSwali hili linahusiana nini na tatizo lake,?
Na mi nasubiri mrejesho wa hizi b g[emoji1] [emoji1]Pole sana jamani! Hili yendo ukifanya bila mahikemshike wa hamu linakja karaha. Kuna bubble gum flani niliziona sehemu za kuingeza hamu kwa mwanamke... Nikipata jina ntakuletea. Zinauzwa sana siku izi.
[emoji23][emoji23]Mh! No more fore play! Just a libido big G will do 🙂
Wahenga walisema "Mficha uchi hazai". Jamani nisaidieni,mwenzenu sina hamu kabisa ya kufanya mapenzi. Hata niandaliwe vip au nijiandae kisaikolojia namna gani nabaki mkavu na sifurahii tendo la ndoa hata kidogo. Sio mpenzi wa picha za ngono,sio mlevi wala mvuta sigara,nakula vizuri, sina msongo wa mawazo,vipimo vinaonesha homon ziko sawa lakini tatizo limekuwa sugu siku hadi siku. Nilienda hospitali sikupata msaada zaidi ya kushauriwa kutumia K-Y gel.
Ndugu zangu kam kuna anayejua matibabu au suluhisho la tatizo hili anisaidie kwani hii hali inanitesa sana. Asanteni!
Hi Ntigy!
1. How old are you?
2. Have you been doing mustarbation?
3. Make sure your man makes romance for not less than 45 minutes before he enters you.
4. Watch porn before sex.
All the best dear.
Hizi chewing gum zipo ila hizi zitamtengenezea dependency kwake but hazi tatui shida ya libido.Atakuwa mteja wa kuduma wa gum kitu ambacho sio sahihi, ni sawa na mwanaume anaetumia Viagra/Cialis na vitu vya aina hiyo kwa ajili ya kuboost.Ndio!!! Tenawanaume wengine wanawapa wasichana wao bila wao kujua [emoji23][emoji23][emoji23]
"Don't do this at home!"
Kweli... Ni temporary solutionHizi chewing gum zipo ila hizi zitamtengenezea dependency kwake but hazi tatui shida ya libido.Atakuwa mteja wa kuduma wa gum kitu ambacho sio sahihi, ni sawa na mwanaume anaetumia Viagra/Cialis na vitu vya aina hiyo kwa ajili ya kuboost.
Tatizo hili ni la kiroho. Una mini mahaba (spiritual husband) anayekukosesha hamu kwa mumeo ili uwe naye.
Horny goat weed zinapatikana mkuu.Nadhani itakuwa between 36000-40000.Kuna mtaa kariakoo una maduka ya dawa ya wholesale/retail hapo utazipata kwani wengine wanauza kwa wingi supplements za 21st Century.Na 21st Century wanayo hiyo productJe zinapatikana hapa nchini?
Makadirio ya bei kwa chupa moja ni kiasi gani?
Kwa nje ya nchi naona ni nyingi.
Kama ukibahatika kutembelea Dodoma fika pale DCMC Trust kuna gynaecologist atakusaidia amemsaidia mama m1 hivi mpaka Leo anashukuru.Wahenga walisema "Mficha uchi hazai". Jamani nisaidieni,mwenzenu sina hamu kabisa ya kufanya mapenzi. Hata niandaliwe vip au nijiandae kisaikolojia namna gani nabaki mkavu na sifurahii tendo la ndoa hata kidogo. Sio mpenzi wa picha za ngono, sio mlevi wala mvuta sigara, nakula vizuri, sina msongo wa mawazo, vipimo vinaonesha homoni ziko sawa lakini tatizo limekuwa sugu siku hadi siku. Nilienda hospitali sikupata msaada zaidi ya kushauriwa kutumia K-Y gel.
Ndugu zangu kama kuna anayejua matibabu au suluhisho la tatizo hili anisaidie kwani hii hali inanitesa sana. Asanteni!