Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!

Pole....zingekuwa zinakubali kuhama km vocha ningekurushia maana mm nna nguvu mpaka naona namtesa wife
Sasa huyu nimwanamke nawewe nimwanaume hata kama zngekuwa zinahama cdhani kama zngeendana labda ujaribu kumuhamishia mwanaume mwenzio cjui utamuamishia kupitia njia gani?
 
Pole....zingekuwa zinakubali kuhama km vocha ningekurushia maana mm nna nguvu mpaka naona namtesa wife
aliyeomba msaada wa ushauri ni KE mkuu...!!!....hukumaliza kusoma kichwa cha habari....ukakurupuka ku'comm'nt....
 
Sijawahi kuliwa nyuma,sijakeketwa nampenda sana mpenzi wangu lakini hali ndo hiyo.
Pole dear Ntigy usijali huna tatizo kubwa utasaidiwa, pia nisaidie kujua kama kipindi unaanza kufanya mapenzi ulikuwa sawa ndio ukaanza kupoteza hamu kidogo kidogo au ulipofanya mara ya kwanza ukagundua huna hisia?
 
Asante mkuu,ushauri wako nitaufanyia kazi.
 
Upo juu mkuu
 
Yawezekana unafanya shughuli nyingi bila kupumzika. Jaribu kupumzika. Pia huenda ukawa unampenda mpenzi wako kumbe umemzoea. Uaweza pia toka nje uone kama linajirudia.
Nina muda mwingi wa kupumzika. Sidhani kama naishi kwa mazoea kwani hata nikikaa miezi 6 pasipokufanya hilo tendo,wala mwili hausisimki kwa hamu.
 
Tatizo lako ni kubwa maana najua ni jinsi gani linakuumiza, jaribu njia hii ambayo wengi niliwasaidia kupitia hiyo, anza sasa kutumia Nyanya chungu walau Mara tatu kwa siku, tumia korosho, vanilla/chocolate, kausha mbegu za parachichi na usage vizuri, unga wake tumia kwenye uji ama chai, au maji ya vuguvugu, kunywa uji wa ulezi Mara mbili asubuhi na jioni, mtori kila asubuhi, Maziwa mtindi walau glass mbili kwa siku, juice ya alovera Mara mbili au tatu kwa wiki na iwe vijiko viwili vya chai. Asilimia 75 ya wanawake wana upungufu wa nguvu za kike, tatizo ambalo wengi hawajui na wanaona ni sawa tu. Kwa maelezo zaidi 0689 913 401
 
Dada nenda mpakani hapo kuna jamaa wanauza dawa za asili utasaidika. Mimi kuna gal wangu kawah kuwa na hili tatizo na kapona kabisa.

Ndugu zangu, kitu kama hukijui ni vyema ukakaa kimya wanye ufahamu nalo walitolee maelezo au majibu, sio kuropokwa maswali ya kipumbavu na kutoa majibu ka mishoga
 
Ulishauriwa utumie k-y jelly kufanyia nini hebu kakavua kidogo
 
Ni mapepo hilo, Nenda kanisani ukaombewe lakini sharti uwe umeolewa maombezi kwa ajiri ya wewe na mumeo sio unaenda kanisani kuombewa ili ukafanye mapenzi kiholela holela yaani ujaolewa Mungu atakuadhibu
 
KUNA Juice ya tende,
strawberry,
watermelon.
Mlonge,
vitunguu swaumu,
pweza,
Asali ,mdalasini,
pamoja na vingine kibaaaooo!
vyote hivyo haujaviona???
Katika vyote ulivyovitaja strawberry tu ndo sijawahi kutumia,vingine vyote nimetumia sana na havijafaa kitu.
 
Asante kwa ushauri mzuri. Nitaufanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…