kwa dar zinapatikana duka gan?Ndio, hazina shida kwani ni mitishamba tu hiyo na imepimwa kisayansi.Ni kama tu unapotumia supplements za folic acid.
Ndio, hazina shida kwani ni mitishamba tu hiyo na imepimwa kisayansi.Ni kama tu unapotumia zinc au
hhahahahahaUsikute unatoa nyuma, maana ukitoa nyuma hisia za mbele zinahamia nyuma huku mbele kukipoteza mawasiliano.
Pili usikute umekeketwa
Tatu usikute unayefanya nae ngono huna hisia nae za kimapenzi.
Mwisho km yote hayo huna kasoro nayo, majaaliwa kesho kazini nitawauliza madaktari wazoefu na specialist kwenye magonjwa ya uzazi then nitakuletea majibu.
Pia ningependa kujua hilo tatizo limekuanza lini??
Mkuu nilisahau kuweka bayana jambo la msingi sana kuhusiana na price,inaweza pia ukapata Kwa bei ya chini kuliko niliyokutajia, kwani hizi supplements kwa uzoefu wangu bei huwa inategemea na ni capsules ngapi zimo ndani.Kuna 60,120,180 capsules.Je zinapatikana hapa nchini?
Makadirio ya bei kwa chupa moja ni kiasi gani?
Kwa nje ya nchi naona ni nyingi.
Tatizo lako ni kubwa maana najua ni jinsi gani linakuumiza, jaribu njia hii ambayo wengi niliwasaidia kupitia hiyo, anza sasa kutumia Nyanya chungu walau Mara tatu kwa siku, tumia korosho, vanilla/chocolate, kausha mbegu za parachichi na usage vizuri, unga wake tumia kwenye uji ama chai, au maji ya vuguvugu, kunywa uji wa ulezi Mara mbili asubuhi na jioni, mtori kila asubuhi, Maziwa mtindi walau glass mbili kwa siku, juice ya alovera Mara mbili au tatu kwa wiki na iwe vijiko viwili vya chai. Asilimia 75 ya wanawake wana upungufu wa nguvu za kike, tatizo ambalo wengi hawajui na wanaona ni sawa tu. Kwa maelezo zaidi 0689 913 401
Una historia ya kupiga punyeto? Unatumia madawa ya uzazi wa mpango? Nijibu hili swali kwanza ndio utashauriwa vizuriSijawahi kuliwa nyuma,sijakeketwa nampenda sana mpenzi wangu lakini hali ndo hiyo.
Asante mkuu,sio kweli kwamba ninaishi naye kwa mazoea,tunapendana sana na anajitahidi sana kuniandaa vya kutosha lakini sisimki kabisa.Kwanza nikupe pole sana Dada yangu. Tatizo ulilonalo nahisi linachangiwa na kuzoeana sana na mpenzi wako na istoshe huoni kipya kwake ambacho kinaweza kukuamsha hisia zako.
Pili inawezekana huyo mpenzi wako hana ubunifu wa kucheza na hisia zako.
Tatu, kunasehemu kwenye mwili wako hazijaguswa vizur hususani za ndani ya k. Ila ukija kupata MTU wa kuweza kuzigusa vzr nahisi utakuja kupata hamu na utafurahia mapenz yako.
Ushauri tu . hebu jaribu kwa mtu mwingine ambae ataweza kucheza vizuri na mwili wako na mwenye uwezo wa kutosha asiishie njiani kwa maana awe na uwezo mzuri kwenye bed halafu utatupa mrejesho.
Na vipi kama mtu amezaliwa na hilo tatizo,yani mfano binti akiwa hajawah kuwa na hisia toka azaliwe??Kwanza nikuhakikishie kuwa wapo watu huwa naturally wana low libido, so sio jambo strange
Ila kwavile umeniambia hiyo hali hukuwa nayo toka zamani bali imekuanza tu miaka mitatu ilitopita
Basi nitahitimisha kuwa either una a pschological au a medical problem ambayo haijagundulika bado
So chakufanya ni kaongee na daktari iliwakufanyie vipimo mbali mbali vidhihirishe kuwa hauna ugonjwa wowote, na pia kaongee na psychologist/psychiatrist ili akuhakikishie kama you are mental fine. Nauhakika chimbuko la hali yako litabainika baada yakufanya hayo
I wish you luck, na pole!
Tatizo limekuja baadae,mwanzoni nilikuwa sawa kabisa.Pole dear Ntigy usijali huna tatizo kubwa utasaidiwa, pia nisaidie kujua kama kipindi unaanza kufanya mapenzi ulikuwa sawa ndio ukaanza kupoteza hamu kidogo kidogo au ulipofanya mara ya kwanza ukagundua huna hisia?
Asante mkuu,ushauri wako nitaufanyia kazi.Tatizo lako ni kubwa maana najua ni jinsi gani linakuumiza, jaribu njia hii ambayo wengi niliwasaidia kupitia hiyo, anza sasa kutumia Nyanya chungu walau Mara tatu kwa siku, tumia korosho, vanilla/chocolate, kausha mbegu za parachichi na usage vizuri, unga wake tumia kwenye uji ama chai, au maji ya vuguvugu, kunywa uji wa ulezi Mara mbili asubuhi na jioni, mtori kila asubuhi, Maziwa mtindi walau glass mbili kwa siku, juice ya alovera Mara mbili au tatu kwa wiki na iwe vijiko viwili vya chai. Asilimia 75 ya wanawake wana upungufu wa nguvu za kike, tatizo ambalo wengi hawajui na wanaona ni sawa tu. Kwa maelezo zaidi 0689 913 401
Asante mkuu, mpaka wa wapi wanapouza hizo dawa?Dada nenda mpakani hapo kuna jamaa wanauza dawa za asili utasaidika. Mimi kuna gal wangu kawah kuwa na hili tatizo na kapona kabisa.
Ndugu zangu, kitu kama hukijui ni vyema ukakaa kimya wanye ufahamu nalo walitolee maelezo au majibu, sio kuropokwa maswali ya kipumbavu na kutoa majibu ka mishoga
Ushauri mzuri, aufanyie kazi.Okay
Kwavile hormone levels ziko normal, it sounds like a deeper issue. Ina maana ni psychological
Nimeona umemjibu mtu kuwa una mpenzi na unampenda, kwa hiyo nitaasume huna any relationship problems
Ila kama unastress na unafanya vitu vinavyo kufanya uwe unachoka, pia inaweza kuchangia hali hiyo
Kitu kingine ni depression
Pia dawa za kuzuia mimba zinaweza kusababisha hiyo hali
Ushauri wangu ni kama unatumia dawa za kuzuia mimba, basi punguza na muwe mnatumia condom
Pia nenda kaonane na psychologists na halafu ukafanye vipimo vingine zaidi ili kujua kama kuna underlying medical conditions
Acha kumdanganya mwenzako aangalie porn, hiyo itaua kabisa nguvu za kike kwa upande wa hisia. Haifai kabisa.Hi Ntigy!
1. How old are you?
2. Have you been doing mustarbation?
3. Make sure your man makes romance for not less than 45 minutes before he enters you.
4. Watch porn before sex.
All the best dear.
Ok,asante.Mkuu nilisahau kuweka bayana jambo la msingi sana kuhusiana na price,inaweza pia ukapata Kwa bei ya chini kuliko niliyokutajia, kwani hizi supplements kwa uzoefu wangu bei huwa inategemea na ni capsules ngapi zimo ndani.Kuna 60,120,180 capsules.