Tatizo lako ni kubwa maana najua ni jinsi gani linakuumiza, jaribu njia hii ambayo wengi niliwasaidia kupitia hiyo, anza sasa kutumia Nyanya chungu walau Mara tatu kwa siku, tumia korosho, vanilla/chocolate, kausha mbegu za parachichi na usage vizuri, unga wake tumia kwenye uji ama chai, au maji ya vuguvugu, kunywa uji wa ulezi Mara mbili asubuhi na jioni, mtori kila asubuhi, Maziwa mtindi walau glass mbili kwa siku, juice ya alovera Mara mbili au tatu kwa wiki na iwe vijiko viwili vya chai. Asilimia 75 ya wanawake wana upungufu wa nguvu za kike, tatizo ambalo wengi hawajui na wanaona ni sawa tu. Kwa maelezo zaidi 0689 913 401