Nina vijana wawili wamekosa msaada kwenye soka wakuu nahitaji msaada wenu

Nina vijana wawili wamekosa msaada kwenye soka wakuu nahitaji msaada wenu

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania.
Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi.

Mmoja ni winga.
Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo.
Dogo kipaji anacho, kwanza ana speed ana umakini na vitu vingi katika mguu wake.
Pia ni anaweza cheza kama kiungo mshambuliaji.

Wa pili ni kipa
Huyu ana miaka wastani wa 18,19

Alikuwa secondary amerudi kijijini kwao ndio kipa wa kijiji kwa sasa.

Dogo ni mrefu kama metacha flani hivi.

Wazee naombeni msaada wenu kwenye kusaidia vipaji vya hawa vijana.

Ni vile tu mimi sina mamlaka ya kisoka katika nchi lakini nawahakikishia vijana hata timu ya taifa wanacheza vizuri tuu.

Kwa mwenye uhitaji wa hawa vijana njoo PM nipo tayari kuwagharamia nauli mpaka wanafika katika eneo husika.

Na sio tu nauli hata pesa ya kujikimu katika huo mda watakao kuwa katika eneo lako.

Ahsante
 
Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania.
Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi.

Mmoja ni winga.
Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo.
Dogo kipaji anacho, kwanza ana speed ana umakini na vitu vingi katika mguu wake.
Pia ni anaweza cheza kama kiungo mshambuliaji.

Wa pili ni kipa
Huyu ana miaka wastani wa 18,19

Alikuwa secondary amerudi kijijini kwao ndio kipa wa kijiji kwa sasa.

Dogo ni mrefu kama metacha flani hivi.

Wazee naombeni msaada wenu kwenye kusaidia vipaji vya hawa vijana.

Ni vile tu mimi sina mamlaka ya kisoka katika nchi lakini nawahakikishia vijana hata timu ya taifa wanacheza vizuri tuu.

Kwa mwenye uhitaji wa hawa vijana njoo PM nipo tayari kuwagharamia nauli mpaka wanafika katika eneo husika.

Na sio tu nauli hata pesa ya kujikimu katika huo mda watakao kuwa katika eneo lako.

Ahsante
Kwa ufupi mkuu umekua wakala wa wachezaji, siku hizi mpira ni pesa sio kipaji tena japo kipaji pia kinachangia 50% kwa mafanikio, kukaribishwa kwenye academy ya mpira nzuri ya kimataifa inalipa kama Ada ya shule, utakapo uzwa ndo pesa yako itarudi, nakushauri wekeza pesa zako kwenye hao vijana waingia academy nzuri zoko dar.
 
Kuna academy nyingi nzuri tu na zinapeleka vijana wengi nje ya nchi.Weka contacts tuyajenge
 
Mcheki shafii dauda , mawasiliano yake nadhani unaweza kuyapata kule Instagram kwenye page yake
 
Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania.
Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi.

Mmoja ni winga.
Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo.
Dogo kipaji anacho, kwanza ana speed ana umakini na vitu vingi katika mguu wake.
Pia ni anaweza cheza kama kiungo mshambuliaji.

Wa pili ni kipa
Huyu ana miaka wastani wa 18,19

Alikuwa secondary amerudi kijijini kwao ndio kipa wa kijiji kwa sasa.

Dogo ni mrefu kama metacha flani hivi.

Wazee naombeni msaada wenu kwenye kusaidia vipaji vya hawa vijana.

Ni vile tu mimi sina mamlaka ya kisoka katika nchi lakini nawahakikishia vijana hata timu ya taifa wanacheza vizuri tuu.

Kwa mwenye uhitaji wa hawa vijana njoo PM nipo tayari kuwagharamia nauli mpaka wanafika katika eneo husika.

Na sio tu nauli hata pesa ya kujikimu katika huo mda watakao kuwa katika eneo lako.

Ahsante
Hata kaclip hakuna yani wewe ndio judge?
 
Wachukue video kadhaa uwe nazo, katika ulimwengu wa kidigatali huu picha ni muhimu sanaaa
 
Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania.
Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi.

Mmoja ni winga.
Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo.
Dogo kipaji anacho, kwanza ana speed ana umakini na vitu vingi katika mguu wake.
Pia ni anaweza cheza kama kiungo mshambuliaji.

Wa pili ni kipa
Huyu ana miaka wastani wa 18,19

Alikuwa secondary amerudi kijijini kwao ndio kipa wa kijiji kwa sasa.

Dogo ni mrefu kama metacha flani hivi.

Wazee naombeni msaada wenu kwenye kusaidia vipaji vya hawa vijana.

Ni vile tu mimi sina mamlaka ya kisoka katika nchi lakini nawahakikishia vijana hata timu ya taifa wanacheza vizuri tuu.

Kwa mwenye uhitaji wa hawa vijana njoo PM nipo tayari kuwagharamia nauli mpaka wanafika katika eneo husika.

Na sio tu nauli hata pesa ya kujikimu katika huo mda watakao kuwa katika eneo lako.

Ahsante
USHAURI WANGU
Ndondo Cup itawatoa;
Hao Vijana walete Daaslam, waingize kwenye timu za Mitaa zinazoshiriki Ndondo Cup mwaka huu na soon itaanza. Kama kweli wanaVipaji itakua ndiyo wameula. Hii njia ilimtoa IDD NADO.
PILI waone Makocha maarufu wa Mtaani akina Mzozo, Mbwana Makata nk kwao ni rahisi mno kuwatumia vijana wa aina hiyo.
All in all hongera kwa moyo wa Dhahabu ulionao.
 
USHAURI WANGU
Ndondo Cup itawatoa;
Hao Vijana walete Daaslam, waingize kwenye timu za Mitaa zinazoshiriki Ndondo Cup mwaka huu na soon itaanza. Kama kweli wanaVipaji itakua ndiyo wameula. Hii njia ilimtoa IDD NADO.
PILI waone Makocha maarufu wa Mtaani akina Mzozo, Mbwana Makata nk kwao ni rahisi mno kuwatumia vijana wa aina hiyo.
All in all hongera kwa moyo wa Dhahabu ulionao.
Sawa mkuu
 
Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania.
Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi.

Mmoja ni winga.
Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo.
Dogo kipaji anacho, kwanza ana speed ana umakini na vitu vingi katika mguu wake.
Pia ni anaweza cheza kama kiungo mshambuliaji.

Wa pili ni kipa
Huyu ana miaka wastani wa 18,19

Alikuwa secondary amerudi kijijini kwao ndio kipa wa kijiji kwa sasa.

Dogo ni mrefu kama metacha flani hivi.

Wazee naombeni msaada wenu kwenye kusaidia vipaji vya hawa vijana.

Ni vile tu mimi sina mamlaka ya kisoka katika nchi lakini nawahakikishia vijana hata timu ya taifa wanacheza vizuri tuu.

Kwa mwenye uhitaji wa hawa vijana njoo PM nipo tayari kuwagharamia nauli mpaka wanafika katika eneo husika.

Na sio tu nauli hata pesa ya kujikimu katika huo mda watakao kuwa katika eneo lako.

Ahsante
Dalali kwenye ubora wako.
 
Back
Top Bottom