mambo yangu hayo zamani
ila alichonifanya mchezaji yule sitasahau!
hizo mambo ni pesa sana kikubwa uwekeze na kuvumilia. utavuna makubwa. west african waliamka zamani. pia hata wanariadha shavu sana unamtupa Kenya hapo. mengine yanaenda smoothly.
mkuu kama una pesa nikupe njia unampeleka academy SA
ila alichonifanya mchezaji yule sitasahau!
hizo mambo ni pesa sana kikubwa uwekeze na kuvumilia. utavuna makubwa. west african waliamka zamani. pia hata wanariadha shavu sana unamtupa Kenya hapo. mengine yanaenda smoothly.
mkuu kama una pesa nikupe njia unampeleka academy SA