Sina nia ya kuwatisha wanywaji wenzangu wa bia. Lakini nimekuwa ninafanya ulinganifu ninapokunywa bia nikiwa Kenya na nikiwa Tz. Mfano ladha ya Heineken ya Kenya ni tofauti .
Pia Heineken ya sehemu kama Serena hotel au Supermarket kubwa unakuta ina utofauti wa Ladha na hata harufu na Heineken zinazouzwa kwenye Baa za mitaaani.
Za mtaani asilimia kubwa zimetulia hazina vipovu vilivyochangamka, pia zina harufu na hata umwe vipi hucheuwi hata kidogo, lakini za Serena hotel na Big Supermarket ambazo zina ladha, zinatoa vipovu vilivyochangamka na ukinywa unacheua.
Kuna namna vyombo vinavyohusika vitupie jicho maana nchi hii kuna matapeli wengi sana na ndio maana magonjwa ya Figo , ini na Cancer
yamezidi kuongezeka sana