Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji122][emoji122]Mjinga zaidi ni wewe usiyejua kuwa Safari ni Moja
Hesseny na Blaok Label 🤣🤣🤣 kuna haja ya kufukuza wachina nchini
Ukinywa serengeti lite nyingi lazma utaharisha 🤣🤣🤣 huwa haziivi maana ndio bia inanyweka sana Dar.Bia nyingi za hapa Dar ni za leoleo.
Ukiletewa bia angalia production date yake utaona ni ya juzi tu, yaani imetengenezwa wiki mbili au moja iliyopita hivyo haijachanganya bado.
Bia nzuri angalao iwe ya miezi mitatu au miwili iliyopita.
Ndio inakuwa tamu na povu la kunukia vizuri.
Anaweka bia gani sasa mwanangu 🤣 mbona sielewi mfano vinywaji vikali si vina seal na label ya TRA?Kuna mwana ana kiwanda home usiku anajaza kwenye Canter uelekeo Korogwe-Moshi-Arusha (mara 3 Kwa wiki)
La muhimu kulewa. Hayo mengine majaliwaLabda kutakua na wachina wemejifungia mahali wanafyatua tu na kuziingiza mtaani
Yeye ana-deal spirits tu anadai ndo zinalipa na anaweza kubeba nyingi kwenye canterAnaweka bia gani sasa mwanangu 🤣 mbona sielewi mfano vinywaji vikali si vina seal na label ya TRA?
Comment hii iwekewe lamination ikabandikwe pale kiwandani. PeriodMi nalia na safari tuu yani siku hizi kimea hakiivi kabisa wananikosea sana hawa watu
Niliwahi kunywa Henessy ndogo ile ila ladha yake ilikuwa ni ya Valeur Brandy by 100%Yeye anatengemeza spirits tu anadai ndo zinalipa na anaweza kubeba nyingi kwenye canter
Pole. Kachek Afya mapemaNiliwahi kunywa Henessy ndogo ile ila ladha yake ilikuwa ni ya Valeur Brandy by 100%
Kufeni ili tupunguze wajinga mmejaa
[emoji849] HahahaMnaohusika nadhani Hili nalo mkalitazame.
Mimi ndiyo maana kinywaji changu pendwa ni Serengeti larger... [emoji23] [emoji23]Nilikunywa juzi windock mbaka saizi kifua kinaniuma balaa mbaka nikajua ni zile bia tu
Miaka ya 90 huko kuna jirani yangu mmoja biashara yake kubwa ilikuwa hiyo ya kutengeneza konyagi bandia na kuzipaki na kuuza. Ilikuwa ukilipeleka chupa za konyagi ananunua..Pombe feki ni biashara kubwa sana hapa mjini