kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Nilikunywa juzi windock mbaka saizi kifua kinaniuma balaa mbaka nikajua ni zile bia tu
We mchaga?[emoji1787][emoji1787]ndo huwa wanasema mbaka[emoji1787] sorry kuuliza
Nimeacha kuzinywa hasa zile kubwa fake ni nyingiHanson choice zenyewe hazina fake kweli?
Naunga mkono hoja, nilikunywa Heineken baridi pale Dubai airport ilikuwa nzuri sana ukilinganisha na bongo! Cjui ni kwa sababu bei nilipigwa??Sina nia ya kuwatisha wanywaji wenzangu wa bia. Lakini nimekuwa ninafanya ulinganifu ninapokunywa bia nikiwa Kenya na nikiwa Tz. Mfano ladha ya Heineken ya Kenya ni tofauti .
Pia Heineken ya sehemu kama Serena hotel au Supermarket kubwa unakuta ina utofauti wa Ladha na hata harufu na Heineken zinazouzwa kwenye Baa za mitaaani.
Za mtaani asilimia kubwa zimetulia hazina vipovu vilivyochangamka, pia zina harufu na hata umwe vipi hucheuwi hata kidogo, lakini za Serena hotel na Big Supermarket ambazo zina ladha, zinatoa vipovu vilivyochangamka na ukinywa unacheua.
Kuna namna vyombo vinavyohusika vitupie jicho maana nchi hii kuna matapeli wengi sana na ndio maana magonjwa ya Figo , ini na Cancer
yamezidi kuongezeka sana
Pale ilipo tayari ni feki, ikifekiwa itakuwaje?!Hanson choice zenyewe hazina fake kweli?
Mjinga zaidi ni wewe usiyejua kuwa Safari ni MojaKufeni ili tupunguze wajinga mmejaa
Kwa Sasa zipo kibaoHanson choice zenyewe hazina fake kweli?
Sina nia ya kuwatisha wanywaji wenzangu wa bia. Lakini nimekuwa ninafanya ulinganifu ninapokunywa bia nikiwa Kenya na nikiwa Tz. Mfano ladha ya Heineken ya Kenya ni tofauti .
Pia Heineken ya sehemu kama Serena hotel au Supermarket kubwa unakuta ina utofauti wa Ladha na hata harufu na Heineken zinazouzwa kwenye Baa za mitaaani.
Za mtaani asilimia kubwa zimetulia hazina vipovu vilivyochangamka, pia zina harufu na hata umwe vipi hucheuwi hata kidogo, lakini za Serena hotel na Big Supermarket ambazo zina ladha, zinatoa vipovu vilivyochangamka na ukinywa unacheua.
Kuna namna vyombo vinavyohusika vitupie jicho maana nchi hii kuna matapeli wengi sana na ndio maana magonjwa ya Figo , ini na Cancer
yamezidi kuongezeka sana
Halafu eti hata Heineken za chupa nazo ni take away lakini tujiulize huwa zinakwenda wapi maana hazionekani kutupwa.Mfanyabiashara wa vinywaji atakaestukia dili akaanza kuuza heineken za take away zile za can atapiga hela sana, sababu wapenzi wa heineken wamehamia kwenye hizo, hizo uchakachuaji ni mgumu kdg sababu ya packaging yake, ila hixi za chupa ni balaa tupu
[emoji1]JD na Hennessy za mchongo zipo kibao huna habari?
Bongo wanajali faida tu kuliko afya ya walaji
Hata hizi bia za TBL nyingi zinachakachuliwa sana
Mimi siku nikiwa na mzuka wa bia basi KILIMANJARO ndio via yangu ila huwa napata ladha tofauti sometimes.
Unaweza Kuta bia ina ule utamu wake wa asili
Sometimes unakuta ladha kama ya mimaji hivi.
Tunauziwa SUMU sana.
Siku hizi nimepunguza bia nimehamia kwenye wine hasa hizi local wine zetu.
At least kidogo unapata thamani ya Hela Yako