Nina wasiwasi na mke wangu...

Sasa kama alijua anasafiri, ikawaje tena akachelewa kutoka mpk akalala dodoma.
Hapo kuna walakini
 
"Watu wamefanya importation 😂😂"

☝️☝️ puuzia maneno hayo hapo juu , mkuu usiwe na mawazo hasi kila muda si vizuri kwa afya yako umefanya jambo la maana kutomuuliza maana inaweza kuwa unamuhukumu tu bure.
 

Daah sawa mkuu nimekuelewa shukrani
 
Dah..! Yaani umemaliza kila kitu utadhani umesoma mawazo yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mleta mada anaonekana ni mdebwedo yaani mzembemzembe halafu sio mjanja kivile yaani mke alishamsoma jamaa ni boya

Haya bhana wakuu
 

Daah pole sana kiongoz
 
Ndo tatizo la innocent people, mpole poleee, kila kitu jibu ni sawa...Jambo kama hulitaki mwambie mkeo HAPANA SITAKI, unasema sawa huku unaona si sawa? Utaishi maisha ya huzuni sana.

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Reactions: Tsh
Kama unampenda sana, na huwezi kumuacha; usiangaike kumuuliza chochote, wewe akija mpelekee moto maisha yaendelee.
Kwa sababu, itakuwa haina maana ya kumuhoji, huku ukiwa hauna uwezo wa kufanya maamuzi magumu itakuwa sawa na kupiga kelele tu.
 

Daah yaan hayo maumivu ya jamaa nahsi mbaka mimi naya sikia maana hiyo stor hapana wazee unaweza ukapiga mtu risasi
 
Ungemwambia tu usiondoke leo ondoka kesho moja kwa moja dar. Kingine mpigie sister ake muulize kwa kumtega,vipi wazima huko?. Wife anataka kuja huko ni kwema. Wasikie wanasemaje

Sawa kiongoz wangu
 
Sasa umeshindwa hata kuwauliza hao shemeji zako? Kama kweli aliitwa huko Singida.

Nikweli walikuwa na shida nae lakini nahsi kaka hiyo safari kuna kitu pia ukiachana na kwenda kwa dadazake
 
Yaani Dar to Singida, kaitwa na dada zake then hajashinda hata siku moja kesho anageuza, safari ya karibu km 550, alafu kwenda na kurudi kashuka dodoma!!!!!!! Then gari zimejaa hakuna usafiri, ghafla inapatikana gari ya dodoma!!¡!!! Mbona ni rahisi ku predict kwamba hakusafiiri hakua mbali na hakua nje ya mkoa!!!!
 

Mkuu si doubt na kwa dadazake ila shida ni hapo Dodoma ndo tatizo kwao nikweli alienda na nilihakikiasha ilo kuwa kafika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…