Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwnza una uhakika gani kama kweli kasafari? tuanzie hapo na kingine hao mashemeji zako kwanini wasingekupigia wewe kumtaka mkeo kama kuna tatizo la uhalaka hivyo na lakumtoa mkeo nje ya mkoa au unaishi na mtoto wa watu bila kujulikana kwao?
Umenena mkuuMkeo kabila gani? Yaani mwanamke anakuaga kijinga hivyo unamkubalia. Mwambie abaki huko huko mpaka utakapomfuata.
Usisahau kuja kutupa mrejesho! Ila nina asilimia 100 kuwa mkeo kapigwa nje! Je uliwasiliana na ndugu zake waliomwita? Au unaishi staili gani na mkeo ya maisha?
Kwanza jambo łakwanza huyo dada yake(Shemeji yako) ilipaswa pia akupe taarifa ya kumuhitaji mkeo.
Pili mwanamke anaomba ruhusa ya safari na sio kutoa taarifa ya safari hai make sense kabisa.
But yote umeyalea mwenyewe hapo MBUSUSU IMEPIGWA
Mimi mke wangu kuchukuliwa na mama tu kwenda kokote ni mpaka mama aniambie wiki moja before.. huyo ni mama yngu yani. Imagine mtu tu apige simu.. haahahah ila hizi ndoa za wakuu wa kaya wanawake zina shida sana
😂😂😂😂😂Jaman tunaowajua wanawake wa singida msimwambie ukweli huyu jamaa
Sasa umeshindwa hata kuwauliza hao shemeji zako? Kama kweli aliitwa huko Singida.Hapana mkuu sio kweli ni mkewangu kabsa
Umechelewa ameshawapanga. Huna mke hapo .Nikweli mkuu nahicho ndo nnachokitaka kukifanya ndo namsubilia arud leo
Nafkiri ungetafuta mmoja wa dada zake ukamuuliza Ila tumiw akili kumuuliza,Sawa mkuu ngoja arud kwanza