Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho chama kina watu wajinga sana sijapata kuona.Mgombea ambaye amekusanya watu 1900 Dodoma wiki nzima harafu akajiteua?
Shetani ashindwe kwa Jina la Yesu.TUTAKUFA MNO TUMUOMBE MUNGU TU
Wameanza kuzimwaga kwa nbowe na team yake.....wamepigwaWapenda njugu tujiandaee mwaka huu pesa itamwaga vibaya mno
Siyo ghafla namna hiyo mkuu.Mambo hubadilika Mkuu, na watu pia huchoka.
watu wamechoka na wataichagu chadema ila hawa jamaa watapnga itatokea war unazan nn na elewa neno watu wamechokaShetani ashindwe kwa Jina la Yesu.
Hakuna vifo kutokea tena, Chadema tumeshazika sana sasa inatosha.
Kama ni madaraka waacheni wachukue tu
HahahaKukiwa na tume huru ccm itashind
Hapana mkuu. Ule uchaguzi haukuwa mgumu. Ni kwa baadhi ya maeneo tu. Nadhani 2015 unaweza kuchukuwa namba moja japo afya ya Lowassa ilifanya usiwe na msisimko sana.Usijidanganye Uchaguzi mgumu kuwahi kutokea ulikuwa wa mwaka 1995(Dr Lyatonga vs Mkapa) na 2015(Dr JPM vs ENL) tu ,mingine yote FUTUHI.
Toka 2010 kwenye nafasi ya urais CCM haijawahi shindaKwa mara ya kwanza Tanzania inaenda kushuhudia uchaguzi mgumu sana wa kumpata raisi wa kuongoza taifa la Tanzania hapo 2025.
Kwa dhati kabisa najua CCM watashinda ila utakuwa uchaguzi mgumu sana wagombea wasali sana.
Nimekupata mkuu.Hapana mkuu. Ule uchaguzi haukuwa mgumu. Ni kwa baadhi ya maeneo tu. Nadhani 2015 unaweza kuchukuwa namba moja japo afya ya Lowassa ilifanya usiwe na msisimko sana.
Aisee I see this kwa mbaliiiiiMarehemu shekhe yahaya alishatabili baada ya kifo cha Rais aliyopo madarakani atakuja Rais mwanamke atatawala awamu moja tu, baada ya hapo upinzani utashika nchi so si ndio sasa 2025 yani ni humu tu humu tu
Yes..Saa100 hawezi ila analazisha
Hakuna uchaguzi mgumu labda kama wewe ni mtoto sana!Kwa mara ya kwanza Tanzania inaenda kushuhudia uchaguzi mgumu sana wa kumpata raisi wa kuongoza taifa la Tanzania hapo 2025.
Kwa dhati kabisa najua CCM watashinda ila utakuwa uchaguzi mgumu sana wagombea wasali sana.
Hakuna uchaguzi ambao ulikuwa mgumu kama ule wa 2015, huu wa 2025 sidhani kama utakuwa mgumu...Kwa mara ya kwanza Tanzania inaenda kushuhudia uchaguzi mgumu sana wa kumpata raisi wa kuongoza taifa la Tanzania hapo 2025.
Kwa dhati kabisa najua CCM watashinda ila utakuwa uchaguzi mgumu sana wagombea wasali sana.
Uko sahihi mnoooUsijidanganye Uchaguzi mgumu kuwahi kutokea ulikuwa wa mwaka 1995(Dr Lyatonga vs Mkapa) na 2015(Dr JPM vs ENL) tu ,mingine yote FUTUHI.