Pre GE2025 Nina wasiwasi sana na uchaguzi wa Rais Oktoba 2025

Pre GE2025 Nina wasiwasi sana na uchaguzi wa Rais Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa mara ya kwanza Tanzania inaenda kushuhudia uchaguzi mgumu sana wa kumpata raisi wa kuongoza taifa la Tanzania hapo 2025.

Kwa dhati kabisa najua CCM watashinda ila utakuwa uchaguzi mgumu sana wagombea wasali sana.
Hahaha
 
Back
Top Bottom