Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mtihani mkubwa utakuwa ni harakati za No reforms no election.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ipo na inaenda kutokeaAisee I see this kwa mbaliiiii
HahahaKwa mara ya kwanza Tanzania inaenda kushuhudia uchaguzi mgumu sana wa kumpata raisi wa kuongoza taifa la Tanzania hapo 2025.
Kwa dhati kabisa najua CCM watashinda ila utakuwa uchaguzi mgumu sana wagombea wasali sana.
HahahaLilikua jambo la kushangaza CCM wanamuombea Mbowe ashinde.