Nina watoto, najua kupika, na kazi zote za ndani, napata maokoto ninavyotaka sasa sina sababu ya kuoa

Nina watoto, najua kupika, na kazi zote za ndani, napata maokoto ninavyotaka sasa sina sababu ya kuoa

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hii iwafikie wote wanajua haki za binadamu na uhuru binafsi katika kuishi maisha kwa raha bila kuvunja amani na usalama wa nchi na raia wake.

Katika hali ya kuwa vizuri kiakili, kiuchumi na kuwa baharia mpambanaji wa nguvu, napata kila kitu Kwa wakati na muda wote, najua kufanya kila aina ya kazi mfano kupika kila chakula, usafi wote, najua kupamba nyumba, najua kuchora maua, pia ni fashionist, najiweza kiuchumi kwa kadri ya bidii yangu, Nina watoto wanne na maisha yanaenda vizuri huko waliko na nawasomesha, napata maokoto kila siku na Nina jeuri ya kubadilisha maokoto daily sasa naoa ili iweje, sina muda wa kuishi na kupe napenda kuishi maisha marefu sitaki shobo za kuoa. I relate to people, am subject to validation, naenjoy, I link up well with social engagement especially responsibilities. Nalipa kila aina ya kodi ya JMT na nafurahia uzalendo wa kujenga nchi. Marriage is a failure ingredient to patriots and economic fighters

Nakaribisha ligi tubishane kwa hoja na hao mawakala wa ibilisi mufilisi. Kuoa ni meaningless there is nothing like profitable marriage in life.

shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz a.k.a baharia wa jukwaa pendwa JF for real.
 
Hii iwafikie wote wanajua haki za binadamu na uhuru binafsi katika kuishi maisha kwa raha bila kuvunja amani na usalama wa nchi na raia wake.

Katika hali ya kuwa vizuri kiakili, kiuchumi na kuwa baharia mpambanaji wa nguvu, napata kila kitu Kwa wakati na muda wote, najua kufanya kila aina ya kazi mfano kupika kila chakula, usafi wote, najua kupamba nyumba, najua kuchora maua, pia ni fashionist, najiweza kiuchumi kwa kadri ya bidii yangu, Nina watoto wanne na maisha yanaenda vizuri huko waliko na nawasomesha, napata maokoto kila siku na Nina jeuri ya kubadilisha maokoto daily sasa naoa ili iweje, sina muda wa kuishi na kupe napenda kuishi maisha marefu sitaki shobo za kuoa. I relate to people, am subject to validation, naenjoy, I link up well with social engagement especially responsibilities. Nalipa kila aina ya kodi ya JMT na nafurahia uzalendo wa kujenga nchi. Marriage is a failure ingredient to patriots and economic fighters

Nakaribisha ligi tubishane kwa hoja na hao mawakala wa ibilisi mufilisi. Kuoa ni meaningless there is nothing like profitable marriage in life.

shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz a.k.a baharia wa jukwaa pendwa JF for real.


Miaka yako? Maana hii kauli ya mtoto!
 
Utakosa wa kuishi nae uzeeni ama wa kukulea.

Mwanaume kama una kipato kizuri, zaa na wanawake wawili watoto wawili wawili.. jenga nyumba 2. Kila mwanamke mpe mji wake akae na watoto wake.

Kisha wewe ishi kivyako vyako.
 
Utakosa wa kuishi nae uzeeni ama wa kukulea.

Mwanaume kama una kipato kizuri, zaa na wanawake wawili watoto wawili wawili.. jenga nyumba 2. Kila mwanamke mpe mji wake akae na watoto wake.

Kisha wewe ishi kivyako vyako.
Ndio baharia nafanya hivyo kila mama mtoto nimpe msingi wa maisha sikai na fisi wala kupe
 
Ndio baharia nafanya hivyo kila mama mtoto nimpe msingi wa maisha sikai na fisi wala kupe

Kuna jamaa yangu mmoja kafanya hivyo.

Halafu sio tajiri wala nini ila ni mjanja sana kwa wanawake.

Yeye kanunua viwanja viwili vinavyotizamana na shule ya msingi na kingine na shule ya kata ya sekondari.

Kajenga kajumba kadogo kazuri na fremu mbele.. mwanamke wake mmoja aliemzalisha watoto wawili kampa nyumba moja akae na wanae..kisha kampa mtaji wa duka la shule na vibiashara vidogo dogo kama ice cream, na bites za wanafunzi.

Hivyo mke ni kama anajilisha mwenyewe kwa vibiashara vyake.


Mwanamke namba mbili nae kaenda mfanyia hivyo hivyo katika wilaya nyingine. Tena maeneo ya bei nafuu tu. Mmoja yupo chamazi na mwingine yupo kivule

Wanawake zake wanafanya biashara nyumbani kwao hawalipi kodi ya fremu..na wateja wa biashara zao wapo maana viwanja vimenunuliwa pembeni ya shule zenye wanafunzi wengi.

Yeye jamaa anaishi kivyake vyake. Analipa ada tu za wanawe na kujifanyia uwekezaji binafsi bila bugudha.
 
Utakosa wa kuishi nae uzeeni ama wa kukulea.

Mwanaume kama una kipato kizuri, zaa na wanawake wawili watoto wawili wawili.. jenga nyumba 2. Kila mwanamke mpe mji wake akae na watoto wake.

Kisha wewe ishi kivyako vyako.

Hoja dhaifu sana,chamsingi atafute pesa wakumtunza hawawezi kosekana.
 
Hoja dhaifu sana,chamsingi atafute pesa wakumtunza hawawezi kosekana.

Kuna kuumwa muda mrefu ama kulazwa hospitali.

Mtu mzima kutegemea ndugu zako wenye familia zao wakuuguze hospitali ni aibu.

Tofauti na kuuguzwa na wazazi wenzako
 
Kuna kuumwa muda mrefu ama kulazwa hospitali.

Mtu mzima kutegemea ndugu zako wenye familia zao wakuuguze hospitali ni aibu.

Tofauti na kuuguzwa na wazazi wenzako

Hela zikiwepo wakukuuguza na kukutunza watapatikana tu,fukara hukimbiwa hata na watoto wake wa kuwaza ila tajiri ana marafiki wengi.
 
Kuna jamaa yangu mmoja kafanya hivyo.

Halafu sio tajiri wala nini ila ni mjanja sana kwa wanawake.

Yeye kanunua viwanja viwili vinavyotizamana na shule ya msingi na kingine na shule ya kata ya sekondari.

Kajenga kajumba kadogo kazuri na fremu mbele.. mwanamke wake mmoja aliemzalisha watoto wawili kampa nyumba moja akae na wanae..kisha kampa mtaji wa duka la shule na vibiashara vidogo dogo kama ice cream, na bites za wanafunzi.

Hivyo mke ni kama anajilisha mwenyewe kwa vibiashara vyake.


Mwanamke namba mbili nae kaenda mfanyia hivyo hivyo katika wilaya nyingine. Tena maeneo ya bei nafuu tu. Mmoja yupo chamazi na mwingine yupo kivule

Wanawake zake wanafanya biashara nyumbani kwao hawalipi kodi ya fremu..na wateja wa biashara zao wapo maana viwanja vimenunuliwa pembeni ya shule zenye wanafunzi wengi.

Yeye jamaa anaishi kivyake vyake. Analipa ada tu za wanawe na kujifanyia uwekezaji binafsi bila bugudha.
Haya ndio maisha ambayo unaishi kwa raha safi tu, no pressure no bifu life goes on. We live our life once men enjoy every minute of it.
 
Back
Top Bottom