Nina wazo hili, linaweza kutatua changamoto ya ajira kwa kiasi chake

Nina wazo hili, linaweza kutatua changamoto ya ajira kwa kiasi chake

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Naomba wadau na serikali tuanzishe teknolojia mpya ambayo itawezesha kupatikana kwa part time job .

Mfano Mimi ninaishi Mbagara kuanzia muda wa SAA mbili usiku nitakuwa na uhitaji wa Mwalimu wa history anifundishe topic ya colonial economy

Ninachofanya ninaingia mtandaoni katika hiyo App then nina request Mwalimu wa somo husika ambaye yupo eneo nililopo.

Mwalimu huyu akija ananifundisha muda wa masaa mawili then namlipa hela yake anaondoka.

I hope hii program itasaidia Sana kuondoa tatizo la Ajira kwa ukubwa Sana.

Wataalamu mnakaribishwa kuboresha hili wazo
 
K
Mkuu una wazo zuri sana, ila nilikuwa nashauri kuwa ungelitekeleza kwanza ndipo ukaleta kwa watu au ukalitambulisha kwa watu kuliko kuwa sa idea na usiifanyie kazi au ukawa umetoa idea bure akaja kuifanyia kazi mtu mwingine

Wazo limeshasajiliwa Cosota mkuu

Kikubwa nahitaji man power kutoka kwa government na another stakeholders
 
K

Wazo limeshasajiliwa Cosota mkuu

Kikubwa nahitaji man power kutoka kwa government na another stakeholders
Vizuri hapa naona idea yako inaelekea kwenye wajuzi wa mambo ya website designing ambapo kwenye hiyo website wenye kazi watazituma na wanaohitaji kazi wataingia kwenye website hiyo hiyo kucheki available jobs
 
Vizuri hapa naona idea yako inaelekea kwenye wajuzi wa mambo ya website designing ambapo kwenye hiyo website wenye kazi watazituma na wanaohitaji kazi wataingia kwenye website hiyo hiyo kucheki available jobs


OK ikiwa ktk mfumo wa pat time job itakuwa vzr sana
 
Kingine,
Kama unavyojua kuna watu wengi sana ambao hawana ajira kwa sasa alafu ikatokea mtu ame'upload 5 chances za part time job wakajitokeza zaidi ya hapo, unafikiri ni njia gani itatumika ili kuwapata wale exact idadi ya uliokuwa unawahitaji ndani ya muda muafaka?
 
Yoooh bro

mambo ya ki upworks na fiver ama nn?

Inakuwa the same Ila hii inakuwa Ina-link na mazingira yetu.

Mfano wewe ni Mwalimu ukiamka Ahsubui unaangalia ktk location ni nani abahitaji Mwalimu wa kumfundisha kitu fulani


So unachofanya Una-accept Kazi na malipo then unaenda kuifanya hiyo par time job.
 
Kingine,
Kama unavyojua kuna watu wengi sana ambao hawana ajira kwa sasa alafu ikatokea mtu ame'upload 5 chances za part time job wakajitokeza zaidi ya hapo, unafikiri ni njia gani itatumika ili kuwapata wale exact idadi ya uliokuwa unawahitaji ndani ya muda muafaka?


Mkuu hii inakuwa unapotoa request yule MTU anayekupigia then Una-confirm immediately

The same wanafanya uber au bolt
 
Back
Top Bottom