Nina wazo hili, linaweza kutatua changamoto ya ajira kwa kiasi chake

Nina wazo hili, linaweza kutatua changamoto ya ajira kwa kiasi chake

Naomba wadau na serikali tuanzishe teknolojia mpya ambayo itawezesha kupatikana kwa part time job .

Mfano Mimi ninaishi Mbagara kuanzia muda wa SAA mbili usiku nitakuwa na uhitaji wa Mwalimu wa history anifundishe topic ya colonial economy

Ninachofanya ninaingia mtandaoni katika hiyo App then nina request Mwalimu wa somo husika ambaye yupo eneo nililopo.

Mwalimu huyu akija ananifundisha muda wa masaa mawili then namlipa hela yake anaondoka.


I hope hii program itasaidia Sana kuondoa tatizo la Ajira kwa ukubwa Sana.

Wataalamu mnakaribishwa kuboresha hili wazo
History is a slave trade achana nayo kasome tu sayansi kwa dunia ya leo
 
Colonial economy itakusaidia nin katka ulimweng huu science and technology
 
mm nimekuelewa anataka ianzishwe platform ambayo itakua online itawakutanisha walimu na wanafunzi!!

Mwalimu akiwa free anajihold yupo..then mwanafunzi mwenye uitaji wa kufundishwa ana request mwalimu anaemtaka na somo husika na mda na eneo la kufundishwa..

NAdhan anamaanisha kila topic itakua na cost yake, subtopic itakua na cost zake,,na usafir..nadhan hii ya malipo kwa topic na subtopic ni Bora Zaid kuliko kulipa kwa masaa kama alivyosema..

👏👏Kaa na watu wa it vizur naona unawazo zuri ukikomaa kulitekeleza,,coz watoto wa kishua wapo wengi sana wanapenda huduma ziwafate walipo wao!!

Wazo lako likifanikiwa kwa kiasi kikubwa litaua vitution center vya mitaani...na walimu tatizo la ajira litakua solved.all the best
 
Utamlipa sh ngap uyo mwalimu kwa saa au mnunulie mwanao pc walimu awe anafundisha kwa zoom sasa safari kila muda mwilim wa watu apate ajali uko umwongezee shida tu, teknoljia itumike
 
mm nimekuelewa anataka ianzishwe platform ambayo itakua online itawakutanisha walimu na wanafunzi!!

Mwalimu akiwa free anajihold yupo..then mwanafunzi mwenye uitaji wa kufundishwa ana request mwalimu anaemtaka na somo husika na mda na eneo la kufundishwa..

NAdhan anamaanisha kila topic itakua na cost yake, subtopic itakua na cost zake,,na usafir..nadhan hii ya malipo kwa topic na subtopic ni Bora Zaid kuliko kulipa kwa masaa kama alivyosema..

👏👏Kaa na watu wa it vizur naona unawazo zuri ukikomaa kulitekeleza,,coz watoto wa kishua wapo wengi sana wanapenda huduma ziwafate walipo wao!!

Wazo lako likifanikiwa kwa kiasi kikubwa litaua vitution center vya mitaani...na walimu tatizo la ajira litakua solved.all the best

Pia hii itakuwa hata ktk aina nyingine ya Kazi sio ualimu tu
 
Back
Top Bottom