Nina wivu nashindwa hata kumeza mate!

swali hili inabidi umuulize anayekulilia ndo utapata jibu specific na unachokuwaga unamfanyia au? mi nikikujibu hutaelewa,hey zd uko wapi? au eliza

Ana hasira huyo! Mimba si mchezo bana! Hahaha! We huliagi kwani, mwaga vitu hapa mama!
 
Si unajua tena mambo ya kamati we acha tu na siku ya tukio mm ndo nitake miliki kamati ya vinywaji funguo za store ni mm nitakuwa nacontrol. Chriss siku hiyo nitampa adhabu atakuwa anakunywa Banta au Nguli ndogo tu.

OMG!!! Unampango wa kumfanya awe zezeta siku hiyo, kama yale ya wadosi ya kutafutia utajiri hahaaaa!!! bila yale mambo yake yaleee akili inasimama kufanctioni eti!!! ohooo
 
Si unajua tena mambo ya kamati we acha tu na siku ya tukio mm ndo nitake miliki kamati ya vinywaji funguo za store ni mm nitakuwa nacontrol. Chriss siku hiyo nitampa adhabu atakuwa anakunywa Banta au Nguli ndogo tu.
btw, Wapi Nguli?
 
Actually wivu lazima..lakini naona kama kuna kitu kinakusumbua usichoamini juu yake na ujakiweka wazi!! How comes umbadili mavazi..perfume..,sitting and bed room arrangements???

Unahitaji kufanya haya kweli kumbadili mtu?? Au unaona bado anampenda wa awali? Mana uyo nae mambo ya kumpa lift ex.g..ya nn??? Mapenzi yako 2sided msaidiane kila mtu amsaidie mwenzie kutomjengea mazingira ya wasiwasi kuwe na kuaminiana...at least kipite kipindi cha kutosha wewe kuridhika hayuko nae uyo x ndo ampe lift!! Vinginevyo kama hajaamua kubadilika toka moyoni u cant change him...

Nikwambie hili wanawake wengi awapendi kuambiwa... u need to study well the man,, soma alama za nyakati..kama unaona mtuPressure achana nae mapema... But kama hana shida anaheshimu mawazo yako..then tulia mpende akupende wivu aside...
 
NI KWAMBA ANNINA hana konfidensi!....SELF-CONFIDENSI IF I MUST BE SO SPECIFIC
 
Shukru Mungu uliempata ana huruma sana ingekuwa mimi ningekuwa nimeshakutema siku nyiingi manake huo wa kwako si wivu tu bali ni karaha tupu.utaendelea kubadili vitu mpaka lini? akimpa lift dadake utabadili siti ya gari hata pengine kulichoma moto ukidhani ni hawarake.wamwingiza hasara huyo.Angalia utajakosa mwana na maji ya moto ohooo!!
 
wameweka makazi hapo......!


mie mwenyewe navuta vuta cku nitakaribia kuacha kuingia humu hadi 14 feb....halafu jamaa valentine inakukuta honeymoon, akirudi bila mimba itabidi nifanye utafiti wa afya yako.
 
Angalia Blurei ataamka muda si mrefu!
blurei anazungumzia BEING PRECISE..........!if i must make a reminder!i mean kwa mujibu wake yeye(..na companero) being so precise ni tofauti sana na when someone tries to be SO SPECIFIC(IF YOU KNOW WAT AM SEING)

....siku hizi umekuwa mchoyo wa senksi,hebu nitwange na senksi hapa kwa kingereza kizuri kabisa😀
 
mie mwenyewe navuta vuta cku nitakaribia kuacha kuingia humu hadi 14 feb....halafu jamaa valentine inakukuta honeymoon, akirudi bila mimba itabidi nifanye utafiti wa afya yako.
....hahahahahahahah!
 

Hahaha! Na hapo hujapata taska bado. Manake unapokamata taska, na dikshenari inafungua kurasa kumkichwa!! Hehehe! Nadhani hapa nimekuwa So Specific!
 

Una issue na self confidence sio kila mtu atakua kama your past experience learn to trust. Soon uvumilivu una mwisho so far utakuwa unavumiliwa tu na matendo yako ya ajabu are you a weirdo or somen.
 
Any rison?
huchelewi kuleta ugomvi kwenye harus wewe, esp kwa kuangazaangaza kina dada zake G ukitafuta wa kujichimbia naye usiku. si unajua tena makambako na baridi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…