Hahaha! Na hapo hujapata taska bado. Manake unapokamata taska, na dikshenari inafungua kurasa kumkichwa!! Hehehe! Nadhani hapa nimekuwa So Specific!
huchelewi kuleta ugomvi kwenye harus wewe, esp kwa kuangazaangaza kina dada zake G ukitafuta wa kujichimbia naye usiku. si unajua tena makambako na baridi?
HAPA NAPO PATAHITAJI THREDIhuchelewi kuleta ugomvi kwenye harus wewe, esp kwa kuangazaangaza kina dada zake G ukitafuta wa kujichimbia naye usiku. si unajua tena makambako na baridi?
.......yaaah!umekuwa soo spesifiki!mara kadhaa tunapofika bia ya nne(kwa mujibu wa rekordsi nilizofanya hadi jana usiku)tunakuwa sooo spesifiki,na simu zinakuwa nyingi sana....NA TUNAHIMIZANA KUZIDUMISHA MILA ZETU!😀
😉Apunguze au aongeze? Ongeza mwayego!
Mtu chake apendacho!
Hakina hila machoni,
Huridhika kuwa nacho,
Japo hakina thamani!
hehehe!
why should i edit while all i did was asking a genuine qn?hehehe!
mamaa la carmel huyu ni school-mate wangu kabisa seminarini na tunaheshimiana sana!TAFADHALI KAIEDITI POST YAKO...for me please
Ni akili ya mtu Geoff lakini ukiwa mwizi na wewe siku zote unawaza kuibiwa tu ..
Angalia Blurei ataamka muda si mrefu!
Hapo umenena. Kwanza kwa mujibu wa maelezo yake ni kwamba hata yeye amemuopoa huyu bwana kutoka kwa mwanamke mwingine, which has the possibility kwamba alikuwa na mahusiano na huyu bwana hata kabla hajaachana na ex- wake. Swali ni je, wakati akiwa na huyu bwana, alikuwa hana boyfriend mwingine? Kama alikuweopo, then she is a known cheater, na hivyo hawezi kumwamini mtu yeyote tena. Na zaidi, kwa kuwa huyui jamaa (mwanaume) alikuwa naye kwa kificho akiwa na huyo ex wake, bila shaka huyu binti anaamini kwamba mzee hajaacha mchezo wa kula kuku wa kienyeji!
NB: Kuwa mvumilivu, kwani mwosha huoshwa!
Actually wivu lazima..lakini naona kama kuna kitu kinakusumbua usichoamini juu yake na ujakiweka wazi!! How comes umbadili mavazi..perfume..,sitting and bed room arrangements???
Unahitaji kufanya haya kweli kumbadili mtu?? Au unaona bado anampenda wa awali? Mana uyo nae mambo ya kumpa lift ex.g..ya nn??? Mapenzi yako 2sided msaidiane kila mtu amsaidie mwenzie kutomjengea mazingira ya wasiwasi kuwe na kuaminiana...at least kipite kipindi cha kutosha wewe kuridhika hayuko nae uyo x ndo ampe lift!! Vinginevyo kama hajaamua kubadilika toka moyoni u cant change him...
Nikwambie hili wanawake wengi awapendi kuambiwa... u need to study well the man,, soma alama za nyakati..kama unaona mtuPressure achana nae mapema... But kama hana shida anaheshimu mawazo yako..then tulia mpende akupende wivu aside...
Twendefiki,
Ni mapungufu tu niliyonayo ndo maana nataka kubadilika, so far hajafanya chochote cha kuashiria bado ana mahusiano na huyo ex wake zaidi ya hiyo lift niliyoishudia. Anaheshimu mawazo yangu, na amekuwa na msaada mkubwa kwangu katika kutatua tatizohili. Mara nyingi natamani ningefahamiana nae mapema kabla ya zilipendwa and the like...
Kubadili mavazi, perfume na arrangement ya nyumba ni katika kuhangaika tu, naamini kuna kumbukumbu nyingi za mahusiano yaliyopita kwenye hilo, na hasa kama huyo ex alihusika katika kuchagua vitu hivyo... I want him to be all mine!
Asante sana,
Annina
Si anajidai kasusia seat ya mbele mwambie na mtarimbo nao aususie aone au aukate kabisa awe anatembea nao kwenye kipima joto kama anaubavu huu ni wivu wa kijinga.
He makubwa!!!!!
Mi nilisha sema wewe kichwani mwako kuna uwalakini hii akiona Mr. wako atakuelewaje?[/QUOTE]
Fidel, kauli hii inanifanya niamini we are swimming in the same pool... kama si wivu wa kijinga ni nini? kwamba unaamini neno mpenzi linatumika kwa mtu mmoja tu? Kwamba ungekuwa wewe ungejali na kutaka maelezo ya kina kwanini nimetumia neno hilo kwa mtu nisiemjua kwenye internent! I'm sorry to say this but hii ni dalili ya walakini kichwani...
Asante sana,
Annina
Annina, asikudanganye mtu ndugu yangu ukimpenda mtu lazima uwe na wivu naye na wala hakuna ubaya wowote wa hilo, lakini huo wa kwako ndugu yangu umezidi sana kupita kiwango. Mwingine hata kama alikuwa hataki kufanya madudu anaweza kuamua kukuudhi makusudi au akaona huyu mtu mwenye kutaka kunicontrol kiasi hiki hanifai maishani mwangu hivyo ukarusha ndege wako na kubaki na majonzi makubwa