Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
Hahaha! Na hapo hujapata taska bado. Manake unapokamata taska, na dikshenari inafungua kurasa kumkichwa!! Hehehe! Nadhani hapa nimekuwa So Specific!
.......yaaah!umekuwa soo spesifiki!mara kadhaa tunapofika bia ya nne(kwa mujibu wa rekordsi nilizofanya hadi jana usiku)tunakuwa sooo spesifiki,na simu zinakuwa nyingi sana....NA TUNAHIMIZANA KUZIDUMISHA MILA ZETU!😀