Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani ni kwanini Muite ?Serikali nyingi duniani haziwezi kuonyesha waziwazi support yao kwa kuwahofia wakubwa wa Ulaya na Marekani
Jana watumishi wengi tu wa kikristo Palestina walikua Barabarani wanafurahiaTatzo la bongo,
Mihemko mingi inaendeshwa na udini.
Hulka ya Mwanadamu huwa anachukia Mtu mwenye maguvu anayeonea wanyonge, ndio maana mnyonge anapoamua kupambana wengi watamuunga mkono hata kimoyomoyo . Mfano siku itokee Marekani kuanguka iwe kwa kupigana au kuwa janga la asili kama tetemeko au gharika UNAFIKIRI KUNA ATAKAYEMUONEA HURUMA. Na yote hii ni kwasababu watu wengi hawapendezwi na UBABE , UONEVU NA KIBURI CHA MAREKANIUnadhani ni kwanini Muite ?
Jibu Kuntu hili.Hulka ya Mwanadamu huwa anachukia Mtu mwenye maguvu anayeonea wanyonge, ndio maana mnyonge anapoamua kupambana wengi watamuunga mkono hata kimoyomoyo . Mfano siku itokee Marekani kuanguka iwe kwa kupigana au kuwa janga la asili kama tetemeko au gharika UNAFIKIRI KUNA ATAKAYEMUONEA HURUMA. Na yote hii ni kwasababu watu wengi hawapendezwi na UBABE , UONEVU NA KIBURI CHA MAREKANI
Huyo lazima ashambuliwe na mmarekani....Israel anapewa support na nchi za ukanda wa nchi za socialism kama Russia..hapo ndo panapozd kuongeza machochezi ya kupignaSerikali nyingi duniani haziwezi kuonyesha waziwazi support yao kwa kuwahofia wakubwa wa Ulaya na Marekani
80%?Ninaamini asilimia 80% ya watu duniani wanafurahi Israel inaposhambuliwa
Ramli.Serikali nyingi duniani haziwezi kuonyesha waziwazi support yao kwa kuwahofia wakubwa wa Ulaya na Marekani
India, usual Nchi nyingi za Asia ni pro Palestine.Ukiingia mtandao wa X utajionea watu wengi mno wakiisupport Israeli na wako pamoja nao.
Na nimestaajabika kuona wengi ni watu wa Bara la Asia.
80%?
Huo utafiti umefanyia wapi?
Angalia hii nyomi ya waandamanaji wanaounga mkono Israel..
View: https://youtu.be/GM3X0Vw6gcQ?si=CBg-crty0QBD4imE
View: https://youtu.be/Ydn7QBR99PE?si=-EXwm4Mz3JqDQxLP
View: https://youtube.com/shorts/rmTMuvbJxSU?si=XpqAsskYmFs_7Aes
View: https://youtube.com/shorts/VGf6HwD8b7k?si=xLSa-9ljA_oXlLUq
View: https://youtu.be/TDPXFJ4r2pU?si=bcC7zochzo8EzRAq
80%?
Huo utafiti umefanyia wapi?
Angalia hii nyomi ya waandamanaji wanaounga mkono Israel..
View: https://youtu.be/GM3X0Vw6gcQ?si=CBg-crty0QBD4imE
View: https://youtu.be/Ydn7QBR99PE?si=-EXwm4Mz3JqDQxLP
View: https://youtube.com/shorts/rmTMuvbJxSU?si=XpqAsskYmFs_7Aes
View: https://youtube.com/shorts/VGf6HwD8b7k?si=xLSa-9ljA_oXlLUq
View: https://youtu.be/TDPXFJ4r2pU?si=bcC7zochzo8EzRAq
Ni kweli kabisa hata mimi hapa nimeshangilia sana. Isra hell kuna vikao vya mazishi muda huuSerikali nyingi duniani haziwezi kuonyesha waziwazi support yao kwa kuwahofia wakubwa wa Ulaya na Marekani
Sema wafuasi wa allah na shoga yake marehemu muhammad ndio wanafurahi bila kujua wiki ijayo viongozi wao wanaanza kuchezea risasi za tako.