#COVID19 Ninachokifahamu sahihi kuhusu Chanjo ya Covid-19, niulize swali nitakujibu

 
Bourgeoisies kama akina Bill Gates walitabiri miaka sita iliyopita kwamba kungetokea mlipuko hatari ambao ungewaua watu kwa mamilioni, na kweli ikatokea since last year.

Ndiyo kusema wamekuwa prophets, au wao ndio waliwafadhili wataalamu wa Marekani nchini China ili wafinyange virusi vya korona kwenye maabara!???
 
Kirusi kinabadilika according to wataalam, je! Ni kweli kirusi Delta kimetoka na chanjo hizihizi?
Nasikia wale jamaa wenye Kovidi yao, ukifanikiwa kutengeneza the so-called vaccination, wao wanaibuka na variant mwingine. Recall yule wa SA, alpha, na sasa delta. Hii ni hatari na nusu.
 
Ni kwa nini watu wamekuwa na hofu ya chanjo?

Ni sababu ya kauli ya Dr Magufuli kuwaambia chanjo hazifai?
Ni kwa sababu korona inapewa uzito mkubwa kuliko hali halisi; mbaya zaidi chanjo hazina mashiko; mbaya zaidi kabisa, watu wanaohongwa ili wapigwe chanjo mwendokasi.
 
Labda swali gani vile ulitegemea aulize!???
Labda nikuulize wewe kwanza whats so special about 5G? Maana kulikuwa na 2G,3G,4G, then kuna 5G (Mimi naitumia hiyo). Na huu siyo mwisho wa Gs, kuna nyingine zinakuja, why hii 5G iwe tofauti na hizo Gs nyingine?
 
Kama dhumuni la chanjo nikuitambulisha Covid mwilin kwa kuziboost imuneet sijui mnaita, je inatofauti gani nasisi ambao tuliumwa phase 1 na kupana na miili yetu ambao tuliumwa awali nasasa ata tukiumwa hatusumbuliwi tena kama awali
 
Kwanini wanaodungwa chanjo wanaugua tena corona? Hapa mimi ndo nina was wasi na hii chanjo.
 
Ni kwa nini watu wamekuwa na hofu ya chanjo?

Ni sababu ya kauli ya Dr Magufuli kuwaambia chanjo hazifai?
Nakumbuka 2010 kwenye utawala wa kikwete seerikali ya marekani kupitia wizara ya Afya walitoa vyandarua vya msaada, wapo watu wengi sana walipotosha kwamba vyandarua vile vinadawa wazungu wanataka kutuua, lakini haikua kweli mpaka sasa watu waliovitumia wapo hawajafa na bado vinaendelea kugawiwa,

dhana ya kuogopa chanjo kwa kiasi kikubwa ni kwasababu ya kutokea watu kwenye jamii ambao wanapotosha ndio maana ukimuuliza mtu kwanini unapinga chanjo hana sababu zaidi ya kusema magufuli alikataa, gwajima amekataa mbona ulaya corona bado ipo, wazungu wanataka watuue,

imekua ni kawaida sana kwa baadhi ya watu kupotosha ukweli aidha kwabkujua au kwakutokujua
 
Labda nikuulize wewe kwanza whats so special about 5G? Maana kulikuwa na 2G,3G,4G, then kuna 5G (Mimi naitumia hiyo). Na huu siyo mwisho wa Gs, kuna nyingine zinakuja, why hii 5G iwe tofauti na hizo Gs nyingine?
Umeona!??? Kumbe na wewe una maswali kama huyo jamaa uliyemzimisha!??? Mbona sasa unamkatisha, wewe Kibwetere!??? Ungemwacha huyu mtaalamu wa CDC atujibie aiseee!!! 🙂
 
Kwanini wanaodungwa chanjo wanaugua tena corona? Hapa mimi ndo nina was wasi na hii chanjo.
mbona ilo swali limeshajibiwa au hujasoma vizuri, chanjo inaboost immunity ya mwili uwe tayari kupambana na covid pale unapoambukizwa,

ieleweke chanjo haizuii kuambukizwa isipokua inakuongezea kinga mwili ya kuushambulia vile virusi pale unapoambukizwa
 
Mtu anajikuta mtaalamu wa kuichambua covid in positive ways only, anasahau kuwa hii ni dunia, na hii dunia inaendeshwa kwa ushindan na majigambo, uku mwenye nguvu akitaka kuwa na nguvu milele, kama ilivyokuwa kw falme na dola zilizopita, zltumia kila njia kuimarisha dola zao il zidumu, sasa ile mitindo bado ipo na itaendelea kuwepo, ni mpumbav na mjinga pekee atakaepinga kuwa covid haina agenda nyuma ya pazia, mpumbv kama huyu ni aina ya wale watu ambao wanazan dunian kuna aman, na mataifa yanapendana, suala la covid lilishatabiliwa na wao kitambo sana kupitia njia za fasihi watumiazo kupitisha ujumbe,pia kupitia media zao, haya mambo yakishatabiliwa na wao, wenzao wanaojua kuchambua lugha za siri walikwisha elewa kitambo kuwa kuna ugeni unakuja na hawa ndy watu pekee wanaoelewa nn kipo nyuma ya pazia kwenye covid19. Achana na hawa wanasiasa na madactar uchwara wa kibongo wanaojifanya wajuwaji wa kuamasisha chanjo wakat wao dawa ya mbu na panado vimewashinda kutengeneza,..Nasisitiza namm tumia hiari hii kukataa chanjo,,iyo chanjo mnazosema ni sarama ndan yake kuna materials walizotumia hatujui n nn na zna fanyaje kaz, kuna waliopata chanjo miili yao imegeuka magnetic yaan inaattract vitu vya chuma sehem walizodungwa chanjo, kuna wengine wanalalamika wakipachika balbu ya zaid ya watt60 sehem Walz chanja balbu inawaka na kutoa mwanga mkubwa tu sasa wew unaesema hiyo kitu ni salama why this?? Kuna siri kubwa ktk hili, ndio maana wanaopinga hiy kitu wanaandamwa na kutukanwa kila aina ya matusi mara ooh wajinga wanajitenga na dunia, upuuz huu...mwenye akil na afungue ufaham wake, we are not safe
 
Hivi ili madhara yatokee, inachukua muda gani kwani!??? I mean study ya kutosha imefanywa juu ya chanya na hasi za vaccines zako hizi!???

Na hivi umeangalia side-effects kwenye websites ya akina J&J, Pfizer, Mordena, nk!??? Usikute wewe ni miongoni mwa madalali waliolipwa kupigia korona upata bila kujali chochote.

Nawakumbuka sana wauzaji wa barakoa ambao wao wenye hata ndiyo kwanzaaaaaaa hawana taimu nayo --- midomo na pua viko wazi kama tu kama jana 🙂 🙂 🙂
 
Watakufa tu wape muda ipite kama miaka 100 hivi lazima wengi wao watakuwa wamekufa🐒
 
Unakumbuka WHO ilisema mwaka jana kwamba watu wasivae barakoa, then wakasema baadaye wavae!??? Sababu walisema walidhani ugonjwa wa korona hauzuiliki kwa barakoa. Kisha wakachukua V-turn!!!
 
Watakufa tu wape muda ipite kama miaka 100 hivi lazima wengi wao watakuwa wamekufa🐒
Mbona unakata tamaa mapema hivi!??? Huku Bongo kukata tamaa kwa sababu yoyote ile iwayo ni mwiko wa ugali wa sherehe.
 

Sababu ulizozitaja zinamantiki, lakini kwanini hausemi pia kwamba ilionekana wanaopata chanjo damu inaganda? Na vile vile kuhusianishwa kwa mabadiliko ya vinasaba na chanjo? Na hivi karibuni EU wanataka kuigomea AstraZeneca inayotengenezwa India, kwanini watake ya UK pekee? Hauoni hapo maslahi ya kibiashara yanataka kuwa mbele zaidi ya kutoa matibabu?
 
Ukweli 70%
Pumba 30%

Ume address upande wa madhara yanayoweza kutokea kwenye chanjo kisiasa sana na hata upande wa jinsi chanjo inavyopatikana umetoa majibu yafunika kombe mwanaharamu apite

Wasomi wakiafrica mnakasumba moja mna elimu lakini uwezo wa ku reasoning mmeshikiwa na waliowapa elimu.Ni mara chache sana kukuta msomi wa kiafrica aliye na mawazo tofauti ya wazungu.

Nadhani wengi wenu mnaamini mkiwa tofauti ni kama mnakuwa vilaza au tulishaaminishwa kwenye haya maelimu tunayopewa kwamba wewe ni inferior huna unalojua hivyo ninachosema mimi jifunZe kukielewa na kukibeba km kilivyosababu wewe ni mjinga hutakiwi kuwa na mawazo yako binafsi!!haya chukua hiki cheti kitumie kutetea maslahi yangu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…