#COVID19 Ninachokifahamu sahihi kuhusu Chanjo ya Covid-19, niulize swali nitakujibu

Mbona umekimbia uzi, maswali yamekuwa magumu?
 

magonjwa mengi tukianza na Ukimwi ule ni mpango wa watu na ni biashara za watu, mtu anatengeneza ugonjwa na natengemeza dawa sasa ukiishalijuabhilo kama unaakilibtimamu lazima aidha utengemeze dawa au ununue dawa
 
Ingekua vizuri pia ukajitambulisha wasifu wako kitaalam tujue uwezo na aina ya mtu tunaejadili nae. Sina maana ya kudharau uelewa wako, la hasha, nafikiri unaelewa kwamba kila eneo lina taaluma yake.
 
Ila hujasema pumba zake ni zipi na punje ni gani!??? Halafu, hiyo 30% na 70% umetumia kanuni ya nani, maana Prof. Majimarefu hakuacha fomyula hiyo mpaka amefariki dunia.
 
Unakumbuka WHO ilisema mwaka jana kwamba watu wasivae barakoa, then wakasema baadaye wavae!??? Sababu walisema walidhani ugonjwa wa korona hauzuiliki kwa barakoa. Kisha wakachukua V-turn!!!
kazi ya WHO ni kufanya tafiti kila kukicha na kugundua mambo mapya, tangu umezaliwa mpaka umri huo ulionao dawa zote unazotumia ni matokeo ya tafiti za WHO, ndio maana zamani wagonjwa wa HIV walimeza ARV zaidi ya moja lakini kwa sasa ni moja tu kwa siku,

hayo ni matokeo ya tafiti na ugunduzi wa mambo mapya
 
magonjwa mengi tukianza na Ukimwi ule ni mpango wa watu na ni biashara za watu, mtu anatengeneza ugonjwa na natengemeza dawa sasa ukiishalijuabhilo kama unaakilibtimamu lazima aidha utengemeze dawa au ununue dawa
Kama ndivyo, kwa nini tusiamini basi kwamba hata chanjo zipo feki kwa lengo tu la kibiashara na maslahi binafsi yao hayo mabwanyenye ya barafuni Antaktiki!???
 
Nasikia wale jamaa wenye Kovidi yao, ukifanikiwa kutengeneza the so-called vaccination, wao wanaibuka na variant mwingine. Recall yule wa SA, alpha, na sasa delta. Hii ni hatari na nusu.
Ndo hapo sasa sijui tutakuwa na phase 50
 
Ingekua vizuri pia ukajitambulisha wasifu wako kitaalam tujue uwezo na aina ya mtu tunaejadili nae. Sina maana ya kudharau uelewa wako, la hasha, nafikiri unaelewa kwamba kila eneo lina taaluma yake.
Kwa hiyo, hata akikwambia ana Piihechidii mia, lazima uamini tu!??? Elimu ya vyeti haina maana sana. Tumeshamchora huyu jamaa hapahapa. 🙂
 
Swali langu ni je chanjo ya UVIKO 19 inasaidia pia mty kumkinga na mafua haya ya kawaida?
Hawezi kukujibu huyo. Ngoja nikusaidie. Unajua, kama tu chanjo haisaidii kwenye ugonjwa lengwa wa korona, akili nyepesi inaonesha kwamba the so-called chanjo haiwezi kusaidia kwa lolote zaidi ya kuongeza kemikali mwilini na kusababisha madhara ambayo tayari yameshaoneshwa na wataalamu wengi tu.
 
Ila hujasema pumba zake ni zipi na punje ni gani!??? Halafu, hiyo 30% na 70% umetumia kanuni ya nani, maana Prof. Majimarefu hakuacha fomyula hiyo mpaka amefariki dunia.

Huyu mtu ameongelea chanjo ya corona kama kitu kizuri na bora kwa sasa

Lakini mtu yeyote mwenye utimamu kdg tu akifuatilia chanjo ya corona lazima apate ukakasi

Limekaa kisiasa kihuni kitapeli sana hata wao wenyewe wanaotuletea hizi chanjo hawana majibu ya kueleweka ila huyu anataka kulifanya jepesi sana na tulipokee km jambo jepesi..

Sasa ndo tunasema kasoma uwezo wake wa kufikiri umeboreshwa .Je ambao shule hawajaenda kabisa!!!
 
aisee broo we ni mjinga sana, chanjo ya COVID haisaidii chochote, kwaiyo ni ya kujifurahisha tu?
^We are dealing with a completely different virus now!^ ~ Dr. Fauci, head of CDC.
 
Mbona machanjo wanayopewa watoto wenu baada ya kuzaliwa hamyakatai?! Maafrka majinga sana, asilimia 99 ya dawa na chanjo zimeletwa na wazungu na yanatumia. Eti leo yanagomea chanjo ya korona! Maajabu.
 
Mbona machanjo wanayopewa watoto wenu baada ya kuzaliwa hamyakatai?! Maafrka majinga sana, asilimia 99 ya dawa na chanjo zimeletwa na wazungu na yanatumia. Eti leo yanagomea chanjo ya korona! Maajabu.
Hivyo umejitukana na wewe, au u ngozi ya samawi!??? Halafu, usidhani hao jamaa zako wao wanaikubali hii chanjo ya mwendokasi, sawa!???
 
Wewe ndo mjinga namba moja. Jiulize kwanini chanjo ya corona pekee ndio watu wapate ukakasi?
Mbona machanjo wanayopewa watoto wenu baada ya kuzaliwa hamyakatai?! Maafrka majinga sana, asilimia 99 ya dawa na chanjo zimeletwa na wazungu na yanatumia. Eti leo yanagomea chanjo ya korona! Maajabu.
 
Kwa hiyo, hata akikwambia ana Piihechidii mia, lazima uamini tu!??? Elimu ya vyeti haina maana sana. Tumeshamchora huyu jamaa hapahapa. 🙂

Sitaamini ila ntajua najadili hoja na mtu mwenye uelewa wa kiwango gani nauzoefu wake katika eneo husika. Itanisaidia kuchagua maswali ya kumuuliza.
 
ungejikita zaidi kuuliza swali linalokutatiza nisingekujibu mimi angekujibu mwingine mwenye uelewa zaidi

Ok, basi anza kwa kujibu hayo niliyouliza kuhusu kudanda damu na AstraZeneca ya India kutiliwa shaka EU, kwamba hata kama umepatiwa chanjo, lazima wakuweke karanteen na upimwe. Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…