Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
ATM sio deal sana kama una internet banking, pia card zao ni VISA unachomeka kwenye machine zinazo suport VISA unavuta shekeli zakoSitumiagi hizo huduma na sijafuatilia sana. Huenda wanayo
CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.Ndugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.
Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.
Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Nategemea kipindi hiki cha ukosefu wa ajira vijana waliotoka law school watanusa kitu😊😊CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.
Chupi za VIP unazifahamu mhenga?Kweli sana tu sio haki kwa wateja hakuna ushindani na ubunifu maana hiyo ndio nafuu kwa wateja, nchi haiwezi kwenda kwa kufanana miaka ya 80 kulikuwa kina Mama wanavaa kaniki zinaitwa mawingu sijui maduka yote nguo zinafanana lakini unakuta mtu anatembea maduka yote anataka kununua lakini maduka yote yana bidhaa zilezile za mawingu hakuna jipya sasa badala ya kuokoa muda ingia duka moja tu chukuwa ondoka lakini mtu anatembea maduka yote akitegemea labda ataona kitu tofauti ndio kama Bank zetu na kampuni za simu.
Tatizo lao kubwa wana kazi hadi acc ifunguliweAbsa is the best aisee. Customer care nzuri sana na hakuna makato ya kichawi. Online banking yao iko very smooth.
[emoji3][emoji3]Nilihudumiwa mpaka nikajikuta nachukua namba ya hiyo pisi aisee pale citymall branch. Huduma safi + pisi kali Absa sihami wamenibless sana
Makato 3800ATM sio deal sana kama una internet banking, pia card zao ni VISA unachomeka kwenye machine zinazo suport VISA unavuta shekeli zako
Hata mi kwa sasa Equity ndio nawaelewa!Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu😅
Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu😅! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.
Hahaa, unakuta mtu akishapata mshara wake akitoa matumizi yake yote balance inabaki 50K, nae anakuambia anasave.Banks Siyo Rafiki Wa Masikini
Pesa Yako Weka Ndani Siku Zote
Ningehamia huko, shida ni matawi yake sio mengi.Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu😅
Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu😅! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.
Hamia utumie internet banking!Ningehamia huko, shida ni matawi yake sio mengi.
Hawa CRDB wapuuzi kweli
Online transactions waone ABSA hutojutaNdugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.
Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.
Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Unazunguka maduka yote chupi zilezile unatizama rangi tu 🤣 🤣 🤣Chupi za VIP unazifahamu mhenga?
Hapana. Its not.complicated. ila Standard Charttered ni kiboko. Mpaka ATM nililetewa ofisini kwangu. Nilifanya register kwa online nikiw ambaliTatizo lao kubwa wana kazi hadi acc ifunguliwe
Ngoja nisubirieHapana. Its not.complicated. ila Standard Charttered ni kiboko. Mpaka ATM nililetewa ofisini kwangu. Nilifanya register kwa online nikiw ambali
Do it.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
CRDB siku hizi ni SACCOS, si benki ya kuaminika tena.Ndugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.
Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.
Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Hapana. Its not.complicated. ila Standard Charttered ni kiboko. Mpaka ATM nililetewa ofisini kwangu. Nilifanya register kwa online nikiw ambali
Do it.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app