Ninahisi mpenzi wangu ana mwanaume mwingine

Unastahili maombi njoo huku ndugu tuanze kumtumikia yesu.. Leo mi kazi yangu ni kutoa ujumbe kwa njia za nyimbo tu..🤣 pata yako hiyo
 
Umemalert usingeendea jambo hivyo, ulipaswa ungeweka mipango dhabiti ili kuhakikisha unamkamata na anakubali ame cheat, then unamuacha.

Mwanamke ambae huwa nampenda sana , siku akinifanyia kitu cha kuniumiza, huwa naumia sana ni bora hata adui yangu angenifanyia, nikishaondoka ndio imetoka hio, hairudi, kwanza huwa wanakula block, halafu huwa namdharau mno kiasi kwamba hata kesho nimkute na mwanaume hanistui.

Nakushauri, atakusumbua mkuu, move on, huyo si mwaminifu, angekuletea hata mwana si wako. Huwa tunaomba mungu atupe mke mwema lakini mungu amekuonyesha huyo si mwema, imagine huyo dalali asingesema hilo jambo, ungekuwa unatafuniwa daily.
 
Jiridhishe kwa ulichokigundua upate uhakika ndipo ufanye maamuzi.. !

Una uhakika mtoto ni wakwako?
 
Swala la mtoto sina mashaka mkuu...
Nimekupata vyema!

Kama alishafanya usaliti .. ni rahisi kurudia tena , unless ujifanye haujui kuwa alikusaliti kuliko ujuwe halafu umwambie umemsamehe!
 
Sisemi hajacheat.

Ila mtazamo wangu ni huenda kweli ametafuta mtu wa kuzugia tu ili kuweza kupata chumba kirahisi(kama unajua harakati za udalali na wenye nyumba).

Ila hata kama hakucheat shida kubwa ipo pia. Mpk mwanamke anaweza kufanya hivo alivyofanya na hata hajakushirikisha that's a red flag
 
Nunua gunia la mkaa mapema kabla hawajaweka tozo.
Ushauri gani tena unataka
 
Jiridhishe kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…