Ninahisi mpenzi wangu ana mwanaume mwingine

Ninahisi mpenzi wangu ana mwanaume mwingine

Four years later tena after kumuuliza ndo unakuja kutuuliza silly questions?

I hope she finds a man who prima facie knows that she is definitely the one and makes her his wife.

Wewe endelea kutafuta anaeaminika.
Good for her then...
 
Mimi Sisyphus leo, nimeliona joto la jiwe ... mtu nilimuamini ameanza rasmi kuonyesha MAKUCHA yake ... ni miaka minne sasa niko na huyo mwanamke, ni muda mrefu sasa mwenzangu alikua anaomba ndoa mara nyingi sana..nimejaribu kumuelewesha asubiri tujipange kwanza (na najipanga kweli sio uhuni) .. maana tushamleta na mtu duniani, naona sasa muda wa uvimilivu wake umaenza kufika kikomo .... story inaanzia kati, leo al
WAJAMENI ...nipeni ushauri mana shetani ananizonga na mawazo yake ... ni chukue hatua gani easy way , hard way Au mixing

Wanaume tu wabinasfi sana:

1. Miaka 4 ya mahusiano.
2. Umemzalisha - anaweza asiwe wako.
3. Amedai ndoa sana.
4. Ameenda tafuta chumba mwenyewe!

Yeye mwanamke angoja tu utakuja muoa? Kweli? Kweli? Hana kosa huyo mwanamke hata Kama analiwa!
 
MAAZIMIO shetani amenijia na ujumbe wa kumpiga chini mapema maana nilivyokua nafanya nafanya kwa ajili yetu sote isingekua hivyo mi ningeenda zangu SHULE KITAAMBO nikabukue zangu masters ya masimulizi...

WAJAMENI ...nipeni ushauri mana shetani ananizonga na mawazo yake ... ni chukue hatua gani easy way , hard way Au mixing

Kwenye hayo mahusiano yenu kuna kitu mwenzio amekiona ambacho mimi nimekiona kwenye post yako

Ni kama vile hujui unachokitaka
Au ni kama vile huna maamuzi

Ngoja niishie hapo tuu kwa sasa ili na mimi nisijipotezee muda
 
Kwenye hayo mahusiano yenu kuna kitu mwenzio amekiona ambacho mimi nimekiona kwenye post yako

Ni kama vile hujui unachokitaka
Au ni kama vile huna maamuzi

Ngoja niishie hapo tuu kwa sasa ili na mimi nisijipotezee muda
Endelea tu mama D huwezi jua labda unasaidia
 
Endelea tu mama D huwezi jua labda unasaidia

Mwenzio atakua anakujua vizuri sana kakuona hueleweki.

Kwani kufunga ndoa sh ngapi? Vile vyeti vya ndoa vinalipiwa sh ngapi? Au wewe unataka kufanya karamu ya taifa??

Tena usikute unaishi na mtoto wa watu kihuni wala kwao hujaenda kwa kufuata taratibu halafu unamshikilia tuu muda unaenda kwa ahadi za subiri

Huyo nae ni binadamu na kama ametafuta mtu mwingine umeyataka mwenyewe
 
Wanaume tu wabinasfi sana:

1. Miaka 4 ya mahusiano.
2. Umemzalisha - anaweza asiwe wako.
3. Amedai ndoa sana.
4. Ameenda tafuta chumba mwenyewe!

Yeye mwanamke angoja tu utakuja muoa? Kweli? Kweli? Hana kosa huyo mwanamke hata Kama analiwa!
Miaka minne mingi sana kusubiri .
Hapo huyo mdada hana kosa .
 
Mwenzio atakua anakujua vizuri sana kakuona hueleweki.

Kwani kufunga ndoa sh ngapi? Vile vyeti vya ndoa vinalipiwa sh ngapi? Au wewe unataka kufanya karamu ya taifa??

Tena usikute unaishi na mtoto wa watu kihuni wala kwao hujaenda kwa kufuata taratibu halafu unamshikilia tuu muda unaenda kwa ahadi za subiri

Huyo nae ni binadamu na kama ametafuta mtu mwingine umeyataka mwenyewe
Sawa inawezekana nina makosa ... lakini kwao nilishaenda na nikajitambulisha... yote kwa yote sioni kwamba alichochagua ni sahihi
 
Mkuu pole kwanza umekosa uvumilivu kabisa una elements za kukurupuka. Ungetulia kbs mpaka mchezo wote uanze. Ushauri wangu muache kabisa kaa kimya. Tulia. Wanawake baadhi wanalaana ya asili.
 
Fanya kama haujui usichojua hapo nn ,hakuna mwanamke wa kwako peke yako

sent from HUAWEI
 
Back
Top Bottom