Ninahisi mpenzi wangu ana mwanaume mwingine

Kijana unakaaje katik mahusiano na Mwanamke miaka minne bila kumuoa ? Kama huna mpango wa kuoa tulia ukiwa tayari kuoa tafuta Mwanamke uoe.

Huyo Mwanamke amejiongeza ameona hakuna muelekeo,kwahiyo usimlaumu sana.

Ushauri wa kiutu uzima na wa busara,kama umeshajiridhisha na hilo,achana nae aendelee na maisha yake,ukiwa tayari kuoa tafuta mwanamke oa. Siyo mnakaa kwenye mahusiano kijinga jinga tu.
 
Yaani mtoto sio wake... anadanganywa kadi za clinic... anachapiwa nje... na bado mnamlazimisha ndoa na huyo malaya??
 
Piga chini, kitendo cha kumtambulisha mwanaume mwingine kama mume wake maana yake ushakosa mwana na maji ya moto
 
Hii kujipanga haijawai kumuacha mtu salama kama uliyenaye si mtu sahihi
 
nashindwa kabisa kuelewa vijana wa siku hizi kupenda kutumia neno 'basi bwana'. Hili neno si wanatumia wanawake?
 
Shida sio kuoa ... ANAAMINIKA,?
Kwani we huna maamuz binafsi mpaka hapo ulipofikia.
Kwanza umeshapata ukakasi juu ya mwanamme aliye tambulishwa,
Pili kashapunguza baadhi ya vitu kwako kama unavyodai, kuanzia maongezi mpaka vitendo. Mpaka hapo pashakucha ushajua wapi panavuja swala la kumuacha au kutomuacha liko juu yako. Nijuavyo mapenzi hayashauriki, kuna watakwambia achananae kwa full evidence but value yake unaujua ww, pia kuna watakaokushauri mrudie alihali tayari ulisha tia mashaka juu yake.
NB. Swala la kumuacha au kutomuacha liko juu yako.


Sent from my SH-02J using JamiiForums mobile app
 
Ndoa sio majaribio! Hakuna mwanaume yupo tayari kuoa tabia chafu!

Wewe mwenzio kaja hapa anaugulia moyoni sababu anampenda mwanamke wake halafu wewe unamwita tabia chafu? Hivi unajua nafsi yake ingekua inawaza hicho unachowaza wewe asinge andika aliyoyaandika?

Mwanaume ndio mwenye maamuzi ya kuoa na kuchagua mke, kwa maana hiyo Kuoa tabia chafu kunaanzia kwenye utayari wa mwanaume kuchagua tabia chafu na kufanya maamuzi ya kuishi na hiyo tabia chafu hadi kuamua kuleta kiumbe duniani na hiyohiyo tabia chafu.
 
Unadhani ndoa ni ya kufanyia majaribio? Kwani kuzaa watoto ndio nini? Yaani niteseke na ndoa kwa kuona mke wangu analiwa nje kisa watoto? Wanaume lazima tujue tabia kwanza tujiridhishe
Tabia itakuchukua muda gani kujiridhisha?
 
USIMDANGANYE.


JAMAA UAITHUBUTU KUMUOA HUYO DEMU ET KISA UMRIDHISHE.

USIMUOE ET KISA MMEZAA NAYE MTOTO


ACHA MARA MOJA.


POTEZEAA.

MAADAM KESHAKUPA MTOTO.....NIAMIN ATAKUJA SIKU MOJA AKILIA NA KUKUBEMBELEZA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume ndo alianza kutoeleweka ndo maana mwenzake akatafuta kidumu. Akimuoa tu akajihakikishia yy ndo mke amemaliza kazii
 
Mwanaume ndo alianza kutoeleweka ndo maana mwenzake akatafuta kidumu. Akimuoa tu akajihakikishia yy ndo mke amemaliza kazii
Kwann huwa hamna uvumilivu?


Je Yeye kukuchelewesha kuitwa Mke ili hali tayari mmeshazaa, kunakupa sababu ya Kuchepuka??

Au kwako bora lipi. Kumuweka wazi ili uendelee na mahusiano mapya?

Au ndio nanyie siku hizi mmeamua Kuwafanya wanaume "Viporo".


Ikiwa nikweli demu sasa ana mtu mwingine.... Basi jamaa ampotezeee.. Siku zaja ambazo Demu atarudi kwa kasi .
 
Yap tukiongelea ndoa tukaona haieleweki tunatafuta pengine
Kina dada acheni utapeli..mwambie basi huyo mwanaume kuwa unaondoka kwake rasmi,usiendelee kula vyake huku unasubiri mambo yako yakae sawa upande mwingine.

This is not right Dina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…