Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

unapomeza dawa hakikisha unatupa hizo boxer nunua mpya ukienda chooni hakikisha unamwaga maji ya kutosha kisha jisaidie, kunywa maji mengi epuka vitu vya sukari majuisi michai ya sukari nyingi huyo wifi naye atafte chupi mpya ajisafishe uke vizur muanze tiba pamoja tatizo lipo kwa mkeo sababu unapomuingilia tu ndio unaona kuumwa
 
Sawa, shukrani
 
Mkuu kama upo Tanga jaribu kushuka Aghakan kweny jengo la CRDB ngamiani hapo Onana na daktri mmoja anaitwa Bangwelo atakusaidia..

Sio shida kubwa sana japo inahitaji close check up na nakushauri usinywe tena dawa yoyote until ufanye Check up zingine
Sawa mkuu, itabidi niende
 
Mkuu pole kama umepima vipimo vyote havionyeshi maradhi utakuw unayo maradhi ya nguvu za Giza uchawi nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…