Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

Kama uliwahi kula mke wa mtu,,basi nenda katubu kwa mwenye mke..
Utakuja kunishukuru baadae.

Kama mume ni muislam basi unatakiwa siku ya kwenda kutubu uwe na vifaa vifuatavyo.
--sumu ya panya
--Panga kali
--Rungu
--Mundu.

Ukifika mkabidhi hivyo vifaa halafu mpe story nzima.
Yeye ataamuq cha kukufanya ili msamaha wake upite.
Duh! Kwamba nimepigwa misumari sio rahisi
 
Point ya maana hii, inabid niwe na subira sana baada ya matibabu
mimi nakueleza sababu nishakuwa muhanga kwenye hili shemeji yako ni mvivu sana kutumia dawa hapendi kabisa dawa niliwahi umwa nikakita nna UTI dr akanipa ushauri mlete na mwenzio mpime huenda na yeye anaumwa niliporudi home nikamueleza nn kifurushi Cha UTI kwaiyo na yeye akapime apate dawa ili tuwe salama zaidi akakubali kesho yake akaenda pima akaja na majibu kweli anayo akapata dawa.
Sasa wakati wa tunatumia dawa mm nimemaliza na yeye akadai kamaliza baada ya siku mbili tatu tukanza mizagamuano kama kawa wee wiki haikutoboa naumwa tena nikarudi Hospital kupima tena UTI [emoji16][emoji16]

Nilirudi home na hasira sana nikamuuliza wife dawa ulimaliza akadai alikuwa haumwi sasa anamaliza za nini [emoji1787][emoji1787] kwa kifupi nilimwambia Ww ms***e ww pumbafu sana nikamshika mkono kwa mkono hadi hos kupima tena imo nikamwambia hapa hakuna cha dawa ni sindano tulala mashindano wiki nzima mguu kwa mguu tukapewa nandawa yani zile dawa nilihakikisha anameza ndo naondoka tulipomalixa tukakaa wiki bila kufanya kisha tukaenda pima tena tulikuwa safe tangu wakati huo sheria ni hii na tuko sawa sana huyu mwanamke kuna muda anaona bora afe kuliko kunywa dawa [emoji52][emoji52]
 
Kapime tezi dume mkuu maana ni ugonjwa wetu huo wanaume na unafanana na dalili ka hizo.
Hyo nimepima Jana hata karatasi la ultrasound ninalo. Alaf dokta alinambia tufanye vipimo tu ili kuhakiki Kama hakuna tatizo maana kwa umri wangu 27 alisema sio rahisi na tukafanya kipimo sijakuta chochote
 
Sijawahi kupatwa na gonjwa la zinaa tangu nizaliwe,
 
mimi nakueleza sababu nishakuwa muhanga kwenye hili shemeji yako ni mvivu sana kutumia dawa hapendi kabisa dawa niliwahi umwa nikakita nna UTI dr akanipa ushauri mlete na mwenzio mpime huenda na yeye anaumwa niliporudi home nikamueleza nn kifurushi Cha UTI kwaiyo na yeye akapime apate dawa ili tuwe salama zaidi akakubali kesho yake akaenda pima akaja na majibu kweli anayo akapata dawa.
Sasa wakati wa tunatumia dawa mm nimemaliza na yeye akadai kamaliza baada ya siku mbili tatu tukanza mizagamuano kama kawa wee wiki haikutoboa naumwa tena nikarudi Hospital kupima tena UTI [emoji16][emoji16]

Nilirudi home na hasira sana nikamuuliza wife dawa ulimaliza akadai alikuwa haumwi sasa anamaliza za nini [emoji1787][emoji1787] kwa kifupi nilimwambia Ww ms***e ww pumbafu sana nikamshika mkono kwa mkono hadi hos kupima tena imo nikamwambia hapa hakuna cha dawa ni sindano tulala mashindano wiki nzima mguu kwa mguu tukapewa nandawa yani zile dawa nilihakikisha anameza ndo naondoka tulipomalixa tukakaa wiki bila kufanya kisha tukaenda pima tena tulikuwa safe tangu wakati huo sheria ni hii na tuko sawa sana huyu mwanamke kuna muda anaona bora afe kuliko kunywa dawa [emoji52][emoji52]
Hapo ulijua kucheza nae kwakweli maana wanawake wengi ni wabishi kwenye dawa. Mm tulishatumia wote dawa za siku 10 ikashindikana, tukachoma sindano siku 5 wote ngoma ikawa droo
 
Sijawahi kupatwa na gonjwa la zinaa tangu nizaliwe,
 
Pole Sana, Endapo ukipona usikubali kuruhusu uzinzi , Cheap is expensive.

Mungu atakufanyie wepesi utakaa sawa.
 
Daktari alishawai niambia kua huyu Hana tatizo lakin ni mchafu haogi tu...
Nilipigwa nabutwaa siogi kivipi wakt nidesturi yangu kuoga KUMBE hakumaanisha hivyo aisee
Sometime nicode tu yaupande wapil
 
Wingi huo wa dawa ulizopewa unaonesha gonjwa lenyewe halisikii dawa limekuwa sugu. Aliyekupa hizo dawa anabahatisha tu hana uhakika. Je umefanya "culture and sensitivity" kuona dawa ipi sahihi kwa tatizo lako? Vinginevyo endelea kutwanga maji kwenye kinu utapata unga safi mwishoni!
 
Japo yeye haka dalili zozote Ila nilivyokuwa nawaelezea madokta wakawa wanasema mlete na yeye. Kwahyo kuna baadhi ya dozi tumetumia wote Ila mnamaliza dozi mm najisikia nafuu namuacha Kama siku 10 nakutana nae ngoma inaanza moja tena
Na wewe ni farasi

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom