Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

Pole. Umetumia dawa nyingi sana tayari, na hizo paracetamol huwa unakuwa na homa pia?. Seriously huhitaji kutumia tena dawa zaidi ya kuonana na mtaalam specialist akusaidie vipimo zaidi. Inaweza kuwa ni underlying condtion ya tatizo kubwa, au infection inayojirudia, au chronic infection ambayo haijapona.

Historia inayokosekana hapa ni inachukua muda gani tangu ukutane na wife tatizo lijitokeze, kama ni immediately basi tatizo liko kwako, kama huchukua siku kadhaa badi tatizo liko kwa wife. Pia hujaelezea tatizo lilianzaje na kama wewe au mkeo mna matukio ya kuchepuka.

Inaweza kuwa ugonjwa wa zinaa au tatizo jingine kabisa.
 
Dalili ya Cancer inayotokana na zinaa. Umezidi kuwa mzinzi ndio maana umepata Kansa ya Kizazi.😀😃😄😁
Sio vzr mkuu,acha masihara
Ni rahisi kutamka ugonjwa sbb hayajakukuta!

Kansa na zinaa wapi na wapi!?
Duh sio poa
 
ulikula pis kama hii
Screenshot_20231218-120010.jpg
 
Usikubali kupokea Kila kinachosemwa!
Dawa ulizotumia ni nyingi!
Acha kwanza,nenda hosp. Kubwa !

Duh ningesema ukaonane na Dr mmoja hivi, but hayuko dar
Yuko wapi huyo nimatafute tu kwa gharama yoyote
 
Pole. Umetumia dawa nyingi sana tayari, na hizo paracetamol huwa unakuwa na homa pia?. Seriously huhitaji kutumia tena dawa zaidi ya kuonana na mtaalam specialist akusaidie vipimo zaidi. Inaweza kuwa ni underlying condtion ya tatizo kubwa, au infection inayojirudia, au chronic infection ambayo haijapona.

Historia inayokosekana hapa ni inachukua muda gani tangu ukutane na wife tatizo lijitokeze, kama ni immediately basi tatizo liko kwako, kama huchukua siku kadhaa badi tatizo liko kwa wife. Pia hujaelezea tatizo lilianzaje na kama wewe au mkeo mna matukio ya kuchepuka.

Inaweza kuwa ugonjwa wa zinaa au tatizo jingine kabisa.
Nikikutana nae tatizo linatokea tena baada ya siku Kama tatu na sina historia ya kuchepuka.
 
Nikikutana nae tatizo linatokea tena baada ya siku Kama tatu na sina historia ya kuchepuka.
Basi huenda yeye ndo anahitaji vipimo (likely). Ongeeni kama wana familia muyasuluhishe kistaarabu, yaani afike hospitali achekiwe.

Ila pia awe muwazi yeye ana hali gani kiafya. Kwakuwa una discharge naye anaweza kuwa na dalili kama zako. Unaweza kuchunguza nguo anayoamka nayo asubuhi (chupi) fanya namna kuicheki kabla hajaifua, hizo ni namna za kuweza kujua naye ana hilo tatizo au la, ukiona anazo hizo dalili, anza pia kuchunguza kama hakuna njemba inaleta balaa nyumbani kwako.

Sitaki uchukue haya maelezo kama majibu kamili, ila moja kati ya haya yqnaweza kuwa sahihi, maambukizi yanajirudia(hapo mmoja wenu anamwambukiza mwingine repeatedly), maambukizi chronic (tatizo halijawahi kukuondoka mwilini) , tatizo kubwa la kiafya ambalo halijajulikana bado.

Hapo kwenye maambukizi yanayojirudia pia yanaweza kutokana na kuvaa nguo ambazo bado zina vimelea, mfano kwa fungus mtu anapotibiwa anashauriwa afue nguo zake zote za ndani, na azipige pasi yaani kila anapovaa hizo nguo azipige pasi kwanza mpaka atakapopona na hatakiwi kurudia kabla ya nguo hiyo kuifua. Ni mfano tu simaanishi una fungus.

Ila hiyo 3 days interval inanitia mashaka kwamba unakutana na maambukizi mapya baada ya tendo. Matibabu yako yazingatie sana hii theory mpaka utakapoprove otherwise!
 
Basi huenda yeye ndo anahitaji vipimo (likely). Ongeeni kama wana familia muyasuluhishe kistaarabu, yaani afike hospitali achekiwe.

Ila pia awe muwazi yeye ana hali gani kiafya. Kwakuwa una discharge naye anaweza kuwa na dalili kama zako. Unaweza kuchunguza nguo anayoamka nayo asubuhi (chupi) fanya namna kuicheki kabla hajaifua, hizo ni namna za kuweza kujua naye ana hilo tatizo au la, ukiona anazo hizo dalili, anza pia kuchunguza kama hakuna njemba inaleta balaa nyumbani kwako.

Sitaki uchukue haya maelezo kama majibu kamili, ila moja kati ya haya yqnaweza kuwa sahihi, maambukizi yanajirudia(hapo mmoja wenu anamwambukiza mwingine repeatedly), maambukizi chronic (tatizo halijawahi kukuondoka mwilini) , tatizo kubwa la kiafya ambalo halijajulikana bado.

Hapo kwenye maambukizi yanayojirudia pia yanaweza kutokana na kuvaa nguo ambazo bado zina vimelea, mfano kwa fungus mtu anapotibiwa anashauriwa afue nguo zake zote za ndani, na azipige pasi yaani kila anapovaa hizo nguo azipige pasi kwanza mpaka atakapopona na hatakiwi kurudia kabla ya nguo hiyo kuifua. Ni mfano tu simaanishi una fungus.

Ila hiyo 3 days interval inanitia mashaka kwamba unakutana na maambukizi mapya baada ya tendo. Matibabu yako yazingatie sana hii theory mpaka utakapoprove otherwise!
Sawa sawa kak ndo nasubiri hyo keshokutwa nikutane na daktari bingwa. Nitaenda naye pia
 
Anzia hapa....

""... nakaa Kama wiki hv Ila nikikutana na mwenzangu hali inarudi tena.... ""

#YNWA
Hata mimi naona tatizo lipo hapa. Hebu ajaribu kukaa hata mwezi mzima na baada ya hapo akutane tena na mkewe. Hapo anaweza kupata ukweli kuhusu hii kero.
 
Back
Top Bottom