Ninaishi kwangu (nimejenga) ila sina furaha

Kumbe wewe ni mzee wa connection
 
Hakila jina lake linasadifu matendo!😀
 
Humu watu sio wa kuwaamini kabisa
Mtu mwenye mjengo kama huo kiuhalisia hawezi kupoteza muda kufanyia watu connection za mahusiano labda nyumba iwe ya urithi lakini kwa mazingira ya utafutaji wa nchi hii yalivyokuwa magumu mpaka kufikia kumiliki mjengo huo ni wazi umejipinda sana tafsiri yake ulikuwa busy sana otherwise ni nyumba ya urithi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…