Ninaishi na mke ambae hatujaoana ila tuna watoto na tunaishi vizuri. Ndoa ni sheria ya kijinga inayoweza kunivuruga

Ninaishi na mke ambae hatujaoana ila tuna watoto na tunaishi vizuri. Ndoa ni sheria ya kijinga inayoweza kunivuruga

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwangu naweza kusema ni kama mke maana kwetu wanamjua ma kwao wananijua, ila kuhusu ndoa hapo huwa nalikwepa sana hili jambo, huwa naona vile ndugu, jamaa ma marafiki baadhi yao wanavyoteseka.

Kwa sasa tuna watoto wawili moja ana miaka 9 mwengine mitano, tunaishi vizuri tu, tunaheshimiana bila tatizo, kisheria kwa kuwa nimeishi nae kwa zaidi ya miaka miwili tayari ana haki zote kama mke halali ila mke wangu haya mambo hayajui bado.

Nadhani kuhusu swala la ndoa labda iwe huko 2025 ntafanya tu ile kusherekea kwamba tumeishi wote kwa mda zaidi ya miaka 15.

Tunaoendana sana na sitaki hali hii ibadilike kisa tu tumeingia kwenye mkataba wa kuachana mpaka kifo, weee!! 😂 hivi kuna mtu anaeijua kesho ?, halafu hata hizi ndoa mwanamke anaweza ingia tamaa muachane kisa tu apate mgao wake wa mali, n.k.

Hapana kwakweli, na enjoy sana haya maisha, hayo mambo ya ndoa kwangu labda mbele sana huko.
 
kama mnaishi vizuri its okay, ndoa ni processs mkuu🥰
Ndoa yani labda kwa zamani vile mwanamke aliijua nafasi yake na majukumu yake.

kwa kizazi hiki hizi ndoa zimejaa visa vingi sana, kama mnaishi vizuri wala msiwe na haraka.

Majirani zetu, ndugu zetu, marafiki, n.k wanajua sisi ni mke na mume, hii inatosha
 
Ndoa yani labda kwa zamani vile mwanamke aliijua nafasi yake na majukumu yake.

kwa kizazi hiki hizi ndoa zimejaa visa vingi sana, kama mnaishi vizuri wala msiwe na haraka.

Majirani zetu, ndugu zetu, marafiki, n.k wanajua sisi ni mke na mume, hii inatosha
kuna baraka fulani za ndoa unazikosa mkuu trust me.
 
Kwangu naweza kusema ni kama mke maana kwetu wanamjua ma kwao wananijua, ila kuhusu ndoa hapo huwa nalikwepa sana hili jambo, huwa naona vile ndugu, jamaa ma marafiki baadhi yao wanavyoteseka.

Kwa sasa tuna watoto wawili moja ana miaka 9 mwengine mitano, tunaishi vizuri tu, tunaheshimiana bila tatizo, hatuna mambo ya kuchekeana mbele za watu kwa kulaimisha [emoji23]

Nadhani kuhusu swala la ndoa labda iwe huko 2025 ntafanya tu ile kusherekea kwamba tumeishi wote kwa mda zaidi ya miaka 15.

Tunaoendana sana na sitaki hali hii ibadilike kisa tu tumeingia kwenye mkataba wa kuachana mpaka kifo, weee!! [emoji23] hivi kuna mtu anaeijua kesho ?, halafu hata hizi ndoa mwanamke anaweza ingia tamaa muachane kisa tu apate mgao wake wa mali, n.k.

Hapana kwakweli, na enjoy sana haya maisha, hayo mambo ya ndoa kwangu labda mbele sana huko.
Ndoa waachieni waliopitia Jando na waliadilika inavyopasa kwa wazazi wao na pia wenye hofu ya Mungu pekee, ila ninyi ambao kila mkiona kichaka(Ke) tayari mnabanwa na kinyesi (uhuni/ukicheche) hamuwezi kuiva chungu kimoja na ndoa kamwe!
 
Kwangu naweza kusema ni kama mke maana kwetu wanamjua ma kwao wananijua, ila kuhusu ndoa hapo huwa nalikwepa sana hili jambo, huwa naona vile ndugu, jamaa ma marafiki baadhi yao wanavyoteseka.

Kwa sasa tuna watoto wawili moja ana miaka 9 mwengine mitano, tunaishi vizuri tu, tunaheshimiana bila tatizo, hatuna mambo ya kuchekeana mbele za watu kwa kulaimisha 😂

Nadhani kuhusu swala la ndoa labda iwe huko 2025 ntafanya tu ile kusherekea kwamba tumeishi wote kwa mda zaidi ya miaka 15.

Tunaoendana sana na sitaki hali hii ibadilike kisa tu tumeingia kwenye mkataba wa kuachana mpaka kifo, weee!! 😂 hivi kuna mtu anaeijua kesho ?, halafu hata hizi ndoa mwanamke anaweza ingia tamaa muachane kisa tu apate mgao wake wa mali, n.k.

Hapana kwakweli, na enjoy sana haya maisha, hayo mambo ya ndoa kwangu labda mbele sana huko.

I wish Ungejua maana ya halisi ya Mkataba, na kuishi na mwanamke kwa zaidi ya miaka miwili, huyo mwanamke Ana haki zote kama mke halali.

Mandoa ni makaratasi tu, ila kwa sababu hajielewi na una ujinga kichwani, hautaelewa nachokwambia kwa mda huu mpaka hapo baadae.
 
Ndoa ni mpango wa kibinadam.
Npo kwenye ndoa ya kikristu miaka 3 sasa, baada ya kuish na huyu mama miaka 13,
Hamna jipya lolote nililoliona kbl na baada,
Zaid nlipata msaad baad ya kurud home kufany mambo ya kimila baad ya kutingwa,...
Zaid mwanamke ni kama ufunguo wa mafanikio, yaan wapo wenye vismati fulan, ukimbahatish yaan ww mishe zitaenda mchakmchaka had hutaamin,
Lkn kuna wengine ukiw nao ni mikosi tu.....,
 
Kwangu naweza kusema ni kama mke maana kwetu wanamjua ma kwao wananijua, ila kuhusu ndoa hapo huwa nalikwepa sana hili jambo, huwa naona vile ndugu, jamaa ma marafiki baadhi yao wanavyoteseka.

Kwa sasa tuna watoto wawili moja ana miaka 9 mwengine mitano, tunaishi vizuri tu, tunaheshimiana bila tatizo, hatuna mambo ya kuchekeana mbele za watu kwa kulaimisha [emoji23]

Nadhani kuhusu swala la ndoa labda iwe huko 2025 ntafanya tu ile kusherekea kwamba tumeishi wote kwa mda zaidi ya miaka 15.

Tunaoendana sana na sitaki hali hii ibadilike kisa tu tumeingia kwenye mkataba wa kuachana mpaka kifo, weee!! [emoji23] hivi kuna mtu anaeijua kesho ?, halafu hata hizi ndoa mwanamke anaweza ingia tamaa muachane kisa tu apate mgao wake wa mali, n.k.

Hapana kwakweli, na enjoy sana haya maisha, hayo mambo ya ndoa kwangu labda mbele sana huko.
Tofautisha ndoa na harusi. Ukishaishi na mtu jinsia tofauti na yako na sio nduguyo mnalala na kuamka uchi kwa zaidi ya mwaka mmoja. Tayri ninyi ni wanandoa
 
Ndoa ni taasisi nyeti.

Ila mkeo ni vile hakuambii tu lakini anajua yeye ni kimada na inabidi afaiti kuimarisha kwao vile siku yoyote utaoa umpendaye.

Sema tu na mali huna ila ungekuwa na mali ukifa leo huyo mwanamke hataambulia hata kijiko labda wamuonee huruma tu.
 
Back
Top Bottom