Ninaishi na mke ambae hatujaoana ila tuna watoto na tunaishi vizuri. Ndoa ni sheria ya kijinga inayoweza kunivuruga

Ninaishi na mke ambae hatujaoana ila tuna watoto na tunaishi vizuri. Ndoa ni sheria ya kijinga inayoweza kunivuruga

Nendeni mkahalalishe hayo mahusiano kiserikali au kiimani, kuna siku utakua haupo kwenye uso wa dunia huyo mke na watoto hawatatambulika
 
Siku ukifa ndo utajua umuhimu wa ndoa (sikuombei mabaya)
Atajuaje sasa au ataamka kushuhudia varangati la familia yake? Kama wale waliofukiwa na udongo ndani ya mwezi mmoja yaani siku 33 tu familia walishagawana kila kitu walijua tayari huyo ![emoji3][emoji3]
 
Akifanya mchezo mke na watoto wake watakuja kukosa haki za URITHI WAKE.
Atajuaje sasa au ataamka kushuhudia varangati la familia yake? Kama wale waliofukiwa na udongo ndani ya mwezi mmoja yaani siku 33 tu familia walishagawana kila kitu walijua tayari huyo ![emoji3][emoji3]
 
Ndoa Ni Chet unayo chopewa kbal uajaingia kweny mtiani
 
Mwanaume Gani mwenye woga wa kijinga hivyo ?

Mwanaume must set his future. Acha woga maana utaishi chini ya woga maisha yote

Mtoto wa kiume ni kuamua

Kama umeamua kukaa Bila ndoa we sema nimeamua usilete woga wa kisingizio Cha baadaye .

Hehehehehe
 
Funga ndoa mkuu kama unaona ni huyo ndio wako kuna kesho na keshokutwa waweza wewe kufa mkeo atazurumika mali au stahiki zake maana serikalini kupata mgao au utambuzi wowote kama mke lazima awe na cheti cha ndoa.
 
Back
Top Bottom