Ninaishi na mke ambae hatujaoana ila tuna watoto na tunaishi vizuri. Ndoa ni sheria ya kijinga inayoweza kunivuruga

bwashee pamoja na kuishi miaka hiyoo itakuwa wewe una kawoga nafsini mwakooo, wewe unafurahia lakini kuna kitu mwenzio hasemii

anyway kila mtu na chaguzi ya maisha yake
anajijua kbs kwa mzee hana kitu zaidi ya kukamuliwa uchi

so kwa usalama wa watoto anatengeneza mali pembeni kimyakimya.

ndio maana wanasemaga mama ni mama
 
Dini zoote, Vitabu vyote vitakatufu, hata makabila yoote na mataifa yoote suala la ndoa linazungumziwa, kwahiyo wewe unajiona una akili kuliko vyote hivyo?

In fact una matatizo yafuatayo:

  • Huna ushirikiano na wenzako kwenye jamii.
  • Unaonesha Ni mtu bahili au mchoyo Sana usiependa chako kiliwe.
  • Umeshindwa ku-focus maisha mbele ya maisha yako ya leo.
 
Wanawake hua mnafurahisha sana na ni viumbe vyenye umimi (selfish) kwa kiwango cha juu mno.

Hivi nani hua anawadanganya kwamba ni lazima mwanaume atakufa awaache?
Yaani jitu kabsa linaanza kuwaza ukifa atarithi nini badala ya kupambana mtafute mali zaidi na zaidi.
kasota nae miaka 40 ya maisha yao siku ya mirathi mali zinachukuliwa na mdogo wa marehem[emoji1][emoji1][emoji1] na maiti juu akazike machozi yake,,
 
Hongera mkuu wewe ndio bingwa wa uzinzi.
Kuhusu Mali hapo bichwa yako imekua mzigo kwa Mwili
 
Uzuri hata kwenye vitabu vikuu vya dini hakuna sehemu hata moja inayofundisha namna ya kufungisha ndoa
Mafundisho yapo kwenye supportive books tu ambavyo wajanja walivitunga.
Niliwahi kuuliza swali humu likakosa majibu. Nikuulize
Kati ya vijana wawili waliokubaliana kuishi pamoja kama mke na mume na wakaishi pasi na ugomvi, kuchepuka na kuepuka maisha ya visasi na vijana wawili waliofungishwa ndoa kanisani na mchina au na sheikh kisha wakaenda kuishi kwa visasi, usaliti, ugomvi . Je, ipi hapo ndoa halali?
 
una chuki sana na wanawake hiyo sumu ikutoke kabla sijaikemea ndo maana nilikukataa😄,, hujaisoma sentensi yangu vizur umekimbilia kuiquot

ngoja nijufafanulie nilivosema

ni hivi mkeo akifa hutoruhusiwa kuingia hata kikao cha mirathi, kuichukua hata maiti ukaizike unakotaka, na kama alikuwa na mali pembeni hamtohusika ata hao watoto wenu zaidi atarithi dada au mdogo wa marehem labda tu kama marehem aliweka majina ya watoto hapo itatambulika napo ni kwa nadra.

sijui umenielewa.
 
una chuki sana na wanawake hiyo sumu ikutoke kabla sijaikemea ndo maana nilikukataa😄,, hujaisoma sentensi yangu vizur umekimbilia kuiquot

ngoja nijufafanulie nilivosema

ni hivi mkeo akifa hutoruhusiwa kuingia hata kikao cha mirathi, kuichukua hata maiti ukaizike unakotaka, na kama alikuwa na mali pembeni hamtohusika ata hao watoto wenu zaidi atarithi dada au mdogo wa marehem labda tu kama marehem aliweka majina ya watoto hapo itatambulika napo ni kwa nadra.

sijui umenielewa.
 
Unaishi duniani huishi mbinguni ndugu yangu .. Huku duniani ni nyaraka kwenye kila kitu... Makaratasi yaliyoandikwa maneno fulani halafu yakagongwa mihuri.. Jitahidi uyapate kuna mahali yatakusaidia sana
Kama una leseni ya kuendesha gari
Kama una hati ya nyumba
Kama una vyeti mbalimbali vya kufuzu viwango fulani vya maarifa
Kama una nyaraka nyingine zozote kwanini hii ya ndoa usiwe nayo!?[emoji848][emoji2827]
 
Ndiyo maisha mliyoyachagua lakini kama wewe ni Mkristo ikitokea tatizo labda kifo ndiyo utajua nini maana ya Ndoa.
 
Hiyo iliyofungishwa na sheikh.
 
Walioweka taasisi ya ndoa sio wajinga,
Somo linakuja endeleeni kupika na kupakua vizuri
 
Weeeee
Hata kama wanandoa wanegeuka kuwa wana masumbwi?
Hata kama ikiwa hivyo.

Ujue nimekujibu hivyo ili nijue point yako ni ipi? maana hiyo situation uliyoieleza inaweza kuwa vise versa.

Sasa na hapo unasemaje? au ndoa halali ni ile isiyo na migogoro, ikiwa na migogoro inakuwa sio halali?
 
Kama unasema anahaki zote kama mke halali.
Sasa tofauti ya hayo maisha unayoishi na huyo mwanamke na maisha ya ndoa ni ipi?
 
so kwa usalama wa watoto anatengeneza mali pembeni kimyakimya.
Udhaifu wa wanando wengi huwa unaanza kama mchicha na baadae kuwa mbuyuuu (utengano) manake huwezi ficha mambo tenaa huko pembeni kimya kimya ya nini tenaaa (ama unagongewaa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…