Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Umegundua nini katika hii dunia hadi useme wazungu ni wajinga? wakati kila kitu unachotumia wamekigundua wao?Kwa elimu hili ni jambo la kawaida. Wazungu wengi ni WAJINGA, kuanzia katika uandishi wa Historia, kufikia hitimisho ya mambo kadha wa kadha.
Like your father and mother plus yourselfYou are Gullible and halfwit bastard.
Mlima Kilimanjaro pia huwaga unawaka Moto π₯ lakini hutasikia watu wakisema kwamba ni MunguHili la huu moto ni janga kama mjanga mengine. Ni kama ilivyotokea zamani karne ya 16 London kuungua eneo kubwa na moto mkubwa ambao haujawahi kuonekana.
Kumhusisha Mungu ni kumfanya aonekane katili sana.
Kwani mpaka sasahivi moto bado unaendelea?Ni Yale Yale watoto wa kiume kujifanya mademu ndio moto umekuja ndio michezo ya mwanetu wa kariakoo na mwenzie ππππ
You, plus your entire generation.Like your father and mother plus yourself
Sas unadhani ni uongo ulishawai kuzima moto kichaa ndg polini halafu kuwe na upepo. upepo na moto ni petrolinapaaa......inarukia
Pick your struggle elsewhereYou, plus your entire generation.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.Pick your struggle elsewhere
Kwa nini sasa wanatumia ghalama kubwa sana kuuzima?Hizo ni editing , ishu ya Los Angeles haihusiani na MUNGU , ni kwamba Wana plan ya kujenga Los Angeles mpya ko waliwaambia wahuko waweke bima ya makazi mpya ila waliozingua , ingekuwa ni ishu ya MUNGU bas marekani nzima na Dunia nzima ingekula fire,
Hii dhana ya kisayansi ndo itafanya wasione uhusika wa Mungu ktk mkasa huo.Unaweza kuwa sahihi kulingana na masuala ya kiimani ya "Dogma", lakini kwa upande mwingine wa kisayansi unaweza usiwe sahihi.
But, all in all, suala la Mabadiliko ya Tabia-nchi na Culture yao ya Utunzaji au Uhifadhi wa Mazingira kwa upande mwingine yamechangia kwa kiasi kikubwa Sana kuongezeka kwa ukali wa janga hili la moto huko Loss Angeles, California Marekani. Therefore, a Global climate change and environmental impacts playing a key role in escalating this tragedy of the fire crisis in LA.
Kwa Imani yako ni yeye ndio aliwatengeneza na kuwaleta kwahio alitegeneza wajinga na wazembe ili aje awalipue ili iweje ?Mungu hapendi watu WAJINGA na wazembe.
Atheist kazini π πWatu wanajibu kutokana na imani zao za kidini wala hawafikirii na kujibu kwa logic na reasoning.
Halafu watu hawahawa ndio wana amini Mungu ni roho.
Sasa hiyo roho ya Mungu inaendeshwa kwa mihemko ya kihisia kama binadamu.
Huyo Mungu akidhihakiwa anapandisha hasira kama binadamu. Halafu analipiza kisasi.
Halafu tena Mungu huyohuyo Akitukuzwa anafurahi kama binadamu...ππ
Inaonekana huyo Mungu anapenda kiki na misifa ya kutukuzwa na kuogopwa kama viongozi wa serikali.
Uongoo bhanaMimi sijui hata kama kuna moto unaunguza miji
We jamaaI once told you, God exists only in your head.
That's why until now you're struggling to defend him.
You are living in a physical world π but you are claiming life is spiritual...!!
Dude, You need to restore your brain to factory settings.