Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Binafsi naona wewe ndio mjinga.

Jamaa kaelezea kitu ambacho kipo na kinaweza kuwa ndio sababu.

Sema wewe unaamini chanzo ni nini na unafahamu nini maana ya mabadiliko ya tabianchi?

Sasa unaniuliza tena Mimi, na umeshasema Mimi ni mjinga. Nionyeshe katika aliyoandika hapo ameandika chanzo gani ?

Unaweza kuthibitisha ya ni mabadiliko ya Tabia nchi ? Au hujasima alichokiandika ?
 
Huyo Mungu kwa nini aliumba binadamu wasiojua watendalo?

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu watakaojua watendayo?
Wewe unavyokuwa mjinga juu ya kitu fulani ? Huwa umetwnzwa nguvu au ni uzembe wako na kupuuzia mambo ?

Mola ametuumba akatupa na ala za kutufikisha katika malengo kivindo, kauli na kimaana.

Ndio maana kuwa mjinga ni maamuzi yako, na ndivyo ilivyo katika mengine.

Kwahiyo Allah alipotuumba alijua yote haya na hayatokei ila mpaka yeye atake.
 
Wewe unavyokuwa mjinga juu ya kitu fulani ? Huwa umetwnzwa nguvu au ni uzembe wako na kupuuzia mambo ?

Mola ametuumba akatupa na ala za kutufikisha katika malengo kivindo, kauli na kimaana.

Ndio maana kuwa mjinga ni maamuzi yako, na ndivyo ilivyo katika mengine.

Kwahiyo Allah alipotuumba alijua yote haya na hayatokei ila mpaka yeye atake.
Hakuna mola aliyetuumba.
 
Mkuu Acha kabisa Hii level ya Thinking ya hawa Members humu Jamvini inaogopesha sana, Kama kweli Mungu tunaemhubiri anakuwa Emotional driven Kiasi ichi basi Mungu huyo hana sifa kabisa Tunazompatia na Atakuwa wa Ovyo sana Kama anaangamiza Mamia ya watu na Mali zao kisa tu Kikundi cha wachache kilichomzihaki Basi Mungu huyo Ni waajabu sana sana

Utaratibu wa Allah inapkuja adhabu haichagui anaye husika na asie husika, wote mnaingia. Sababu kila mmoja anapata stahiki yake.
 
Thibitisha hilo, na utuambie imekuwaje tukawa hivi tulivyo.
Binadamu Wanazaliwa.

Hawaumbwi.

Wewe unayedai kwamba binadamu wanaumbwa, Ndio ulete uthibitisho hapa.

Leta uthibitisho hapa kwamba binadamu waliumbwa
 
Binadamu Wanazaliwa.

Hawaumbwi.

Wewe unayedai kwamba binadamu wanaumbwa, Ndio ulete uthibitisho hapa.

Leta uthibitisho hapa kwamba binadamu waliumbwa

Hili ndio tatizo ambalo huwa nawaambia Kila siku, mnajadili mambo msio kuwa na elimu nayo.

Kwahiyo mchakato mpaka mwanadamu anakuwepo inakuwaje ?

Uumbwaji au uumbaji upo wa namna tatu.

1. Uumbwaji wa Adamu na Hawa.

2. Uumbwaje wa sisi kuuzaliwa.

3. Uumbwaji wa neno.

Sharti la uumbwaji ni mchakato, angalia umbile la mwanadamu linakuwaje mpaka anazaliwa.

Kuzaliwa ni tokeo la mwisho baada ya uumbaji kufanyika.
 
When rational fails we turn to spirituality...

By the way kama huyo Mungu waliyempa Sifuri anaghadhabu na visasi kiasi hiki nadhani walikosea wangempa kabisa Negative.., na wako sawa kutaka kukaa nae mbali kabisa.

Mungu hapendi watu WAJINGA na wazembe.
 
Yaaani waliopo USA bado hawajajua chanzo cha Moto. Aliyepo Tandale kwa Mtogolwe anajua chanzo cha moto.... Hiii nchi hii.....kazi kweli kweli.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa elimu hili ni jambo la kawaida. Wazungu wengi ni WAJINGA, kuanzia katika uandishi wa Historia, kufikia hitimisho ya mambo kadha wa kadha.
 
Nenda milembe kama hujui Ili kitu kiwepo kinahitaji nini

Nimekuuliza hivi sababu ulichokiandika kunaonyesha wazi hujui kitu kiwepo kinahitaji nini na nini.

Unatakiwa utulize akili katika mijadala kama hii, usiwe na mihemko.
 
Nimekuuliza hivi sababu ulichokiandika kunaonyesha wazi hujui kitu kiwepo kinahitaji nini na nini.

Unatakiwa utulize akili katika mijadala kama hii, usiwe na mihemko.
Nenda milembe utajulishwa
 
Hili ndio tatizo ambalo huwa nawaambia Kila siku, mnajadili mambo msio kuwa na elimu nayo.

Kwahiyo mchakato mpaka mwanadamu anakuwepo inakuwaje ?

Uumbwaji au uumbaji upo wa namna tatu.

1. Uumbwaji wa Adamu na Hawa.

2. Uumbwaje wa sisi kuuzaliwa.

3. Uumbwaji wa neno.

Sharti la uumbwaji ni mchakato, angalia umbile la mwanadamu linakuwaje mpaka anazaliwa.

Kuzaliwa ni tokeo la mwisho baada ya uumbaji kufanyika.
Thibitisha uwepo wa Adamu na Hawa, Sio kuleta hadithi uchwara za kwenye maandiko ya kidini.
 
Back
Top Bottom