Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Kwa kuwa wamemkataa Mungu wa kweli, na yeye ameamua kuwakaa.
MATUKIO YA SIKU YA MWISHO

Chicago na Los Angeles

Matukio ambayo yangetukia hivi karibuni huko Chicago na miji mingine mikubwa pia yalipita mbele yangu. Uovu ulipoongezeka na uwezo wa kulinda wa Mungu ulipoondolewa kulikuwa na pepo za uharibifu na tufani. Majengo yaliharibiwa kwa moto na kutikiswa na matetemeko ya ardhi....

Muda fulani baada ya haya nilionyeshwa kwamba maono ya majengo huko Chicago na rasimu ya njia za watu wetu kuzisimamisha, na uharibifu wake, ilikuwa somo la kitu kwa watu wetu, likiwaonya wasiwekeze kwa kiasi kikubwa mali zao katika mali. katika Chicago, au jiji lingine lolote, isipokuwa majaliwa ya Mungu yafungue njia kwa hakika na kuonyesha waziwazi wajibu wa kujenga au kununua inapobidi katika kutoa maelezo ya onyo. Tahadhari kama hiyo ilitolewa kuhusu ujenzi huko Los Angeles. Mara kwa mara nimeagizwa kwamba hatupaswi kuwekeza njia katika ujenzi wa majengo ya gharama kubwa katika miji-Mkusanyiko wa Paulson wa Ellen G. White Letters, 50 (1906).
Nabii wa wawasabato nae alishaona
downloadfile.jpg
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars[emoji93] ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068
Vipi kama kuna mtu alichukizwa na hayo matendo akaamua kuchoma mji!? Kati ya waliomdhihaki Mungu ni wangapi wameathiriwa na hilo janga?
Ukubwa/ukali wa moto kwa mji kama ule unasababishwa na mambo mengi ikiwemo miundombinu ya mabomba ya gesi za majumbani. Ndomana ilikuwa rahisi kuzima moto wa Amazon kuliko huo wa mjini unaochochewa na mambo mengi.
 
I was giving yo that message I don't want to make an argument, let it be so....
Your intellectually famished mind is incapable of raising a logical argument against the meticulously stated and intricately sourced problem of evil that eluded giants of philosophy such as Alvin Plantinga and Pope Francis.

If this was chess, you would be checkmated.

If this was Go, it would be inescapable atari.
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068 Wangekufa waliokufuru basi
 
Vipi kama kuna mtu alichukizwa na hayo matendo akaamua kuchoma mji!? Kati ya waliomdhihaki Mungu ni wangapi wameathiriwa na hilo janga?
Ukubwa/ukali wa moto kwa mji kama ule unasababishwa na mambo mengi ikiwemo miundombinu ya mabomba ya gesi za majumbani. Ndomana ilikuwa rahisi kuzima moto wa Amazon kuliko huo wa mjini unaochochewa na mambo mengi.
Alitumia moto gani kuuchoma huo mji.. Kwanini umeshimdikana kuzima na kusababisha madhara yote Yale
 
Watu wanajibu kutokana na imani zao za kidini wala hawafikirii na kujibu kwa logic na reasoning.

Halafu watu hawahawa ndio wana amini Mungu ni roho.

Sasa hiyo roho ya Mungu inaendeshwa kwa mihemko ya kihisia kama binadamu.

Huyo Mungu akidhihakiwa anapandisha hasira kama binadamu. Halafu analipiza kisasi.

Halafu tena Mungu huyohuyo Akitukuzwa anafurahi kama binadamu...😄😄

Inaonekana huyo Mungu anapenda kiki na misifa ya kutukuzwa na kuogopwa kama viongozi wa serikali.
Mkuu Acha kabisa Hii level ya Thinking ya hawa Members humu Jamvini inaogopesha sana, Kama kweli Mungu tunaemhubiri anakuwa Emotional driven Kiasi ichi basi Mungu huyo hana sifa kabisa Tunazompatia na Atakuwa wa Ovyo sana Kama anaangamiza Mamia ya watu na Mali zao kisa tu Kikundi cha wachache kilichomzihaki Basi Mungu huyo Ni waajabu sana sana
 
Unaweza kuwa sahihi kulingana na masuala ya kiimani ya "Dogma", lakini kwa upande mwingine wa kisayansi unaweza usiwe sahihi.

But, all in all, suala la Mabadiliko ya Tabia-nchi na Culture yao ya Utunzaji au Uhifadhi wa Mazingira kwa upande mwingine yamechangia kwa kiasi kikubwa Sana kuongezeka kwa ukali wa janga hili la moto huko Loss Angeles, California Marekani. Therefore, a Global climate change and environmental impacts playing a key role in escalating this tragedy of the fire crisis in LA.
Msiwe WAJINGA kiasi hiki na kupelekwa na wazungu. Hakuna kitu "Mabadiliko ya Tabia ya nchi" kina exist katika uhalisia.
 
Ni kweli Mungu hadhihakiwi.

Mungu kawapa fundisho na pia kuna kitu nimekiona kipo nyuma ya pazia.

Biashara ya Bima,

Wataalam wanadai 80% ya nyumba zote California hazina Insurance.

Sasa nahisi hawa watu wa bima kuna namna wamehusika.

Mungu anaweza watumia hata hawa watu kuwapa somo hayo mahayawani.
 
Msiwe WAJINGA kiasi hiki na kupelekwa na wazungu. Hakuna kitu "Mabadiliko ya Tabia ya nchi" kina exist katika uhalisia.
Binafsi naona wewe ndio mjinga.

Jamaa kaelezea kitu ambacho kipo na kinaweza kuwa ndio sababu.

Sema wewe unaamini chanzo ni nini na unafahamu nini maana ya mabadiliko ya tabianchi?
 
Mabingwa wa olgan hawa amerika sitaki kusema kitu let wait and aee next!.
 
Back
Top Bottom