Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Mtu anazusha uongo halafu anatafuta kundi la watu wamsapoti.

Na kwa vile waafrika wengi hasa watanzania wamejaa mihemko ya kiimani na kidini wanasapoti blindly.

Blind acceptance is the enemy of truth.
Kweli kabisa, Kuna muda nikikaa peke yangu na kutathimini hizi akili za watanzania wenzangu nachoka kabisa naona tuna safari ndefu Sana kwani ujinga bado tunao kwa kiwango kikubwa mno.
 
Tatizo Mshana huaminiki tena maana post(comments) zako muda mwingine zinaonesha wewe ni atheist. Kiukweli mimi binafsi sikuamini tena kivile kama zamani.
 
Kajifunze juu ya "smart city" ndio utajua ule moto ni mpango ulioratibiwa kitaalam,Amerika akili nyingi,
 
Kweli kabisa, Kuna muda nikikaa peke yangu na kutathimini hizi akili za watanzania wenzangu nachoka kabisa naona tuna safari ndefu Sana kwani ujinga bado tunao kwa kiwango kikubwa mno.
In a world of fake news and propaganda, Critical thinking is more crucial and very important.

Tatizo la watanzania ni kwamba wengi wamepumbazwa kuamini vitu bila kuhoji na kuchunguza ukweli wa jambo fulani kwa kina.

Unakuta mtu kwa vile kaambiwa kitu fulani na kiongozi wake wa dini au Mentor wake anayemkubali sana,

Badala ya yeye pia kuchunguza na kuverify ukweli wa jambo hilo, Mtu anakubali tu hivyohivyo mkichwa mkichwa.
 
Kwani wakati anachoma Sodoma na Gomora, ilikuwaje? Kuna maovu ambayo huwa hayavumiliki mbele za Mungu ikiwa ni pamoja na kufuru pamoja na mambo ya ushoga.
 
Hata hii timu ya Yanga imetolewa kwenye CAF CL kwa sababu kuna mashariki wa Yanga walisema eti Yanga haiwezi kufungwa na timu yoyote hata ikija timu ya malaika wa mbinguni wataifunga.
 
Nyumba nyingi za huko L.A zimejengwa kwa mbao, ni rahisi kuungua.
Hasara ni kubwa kwenye mali na sio uhai wa watu, mpaka jana walio lipotiwa kufa ni 24 tu!
 
Kuna movie ilitoka mwaka jana ikiwa na kisa cha US kushika moto ulioshindikana kuzimwa na ukaleta madhara sana mpaka viumbe vya ajabu vikawa vinatoka misituni kuja katika makazi,ziko mbili hv kama sijakosea
Inaitwaje
 
Iwe kweli au si kweli kuhusu chanzo cha moto. Nakubaliana na wewe, Mungu hadhihakiwi wala hafananishwi
 
Kosa lifanywe na kikundi kidogo cha watu alafu Mungu achome nyumba nyingi na za watu wasiohusika kwa nini asiwaadhibu waliomudhihaki?
Badala akachome pentagone au White house au awachome hao wasanii waliomdhihaki anaenda kuunguza nyumba za wasiojua nini kinaendelea ! Watu wadini bado mnatupanga sana
 
Tatizo Mshana huaminiki tena maana post(comments) zako muda mwingine zinaonesha wewe ni atheist. Kiukweli mimi binafsi sikuamini tena kivile kama zamani.
Usijali kabisa kwa hilo kwakuwa ukweli na uhalisia wa kile ninachoamini unabaki kuwa jambo very personal kwakuwa ni sehemu muhimu sana ya maisha yangu.. Na sihitaji hata maramoja kumshawishi kwa lolote yeyote yule juu ya imani yangu.. I am the master of myself 💪🏿💥👌🏿
 
Mimi ni Bwana Mungu wako ni Mungu mwenyrme wivu.. Nawapatiliza wana maovu ya baba zao.. Wa kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukizao ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…