YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Wakuuu za mida,
Aseee mimi mwanenu katika vitu ninavyojuta maishani mwangu ni kuchelewa kujiunga humu ndani asee.
JF imekuwa zaidi ya kijiwe kwangu.
Namshukuru sana Maxence Melo kwa kutengeneza huu mtandao pendwa.
Yaani kwanzia 2016 nilikuwa namiliki smartphone ila niliishia FB tu ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜na IG basi humu nimekuja kuisikia 2020 huko kipindi cha Corona.
Nikajiunga kimagumashi 2022 bila mi mwenyewe kutarajia kwa hii miezi 7.
JF imenipa
1. Koneksheni za kutosha
2. Elimu pia ya kutosha
3. Mawazo ya kibiashara
Imenifundisha pia 👇👇👇👇👇
Achia mbali baadhi ya majibu iliyonipatia kwenye maswali yangu mbalimbali. Bila kusahau udakuudaku wa hapa na pale. Na kama sehemu ya kuondolea stress.
Ningejiunga 2016 aseee ningekuwa mbali sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜. Anyway ishapita acha nigange yajayo tu 🤤🤤
Tchao 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
JF IDUMU MILELE.
Aseee mimi mwanenu katika vitu ninavyojuta maishani mwangu ni kuchelewa kujiunga humu ndani asee.
JF imekuwa zaidi ya kijiwe kwangu.
Namshukuru sana Maxence Melo kwa kutengeneza huu mtandao pendwa.
Yaani kwanzia 2016 nilikuwa namiliki smartphone ila niliishia FB tu ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜na IG basi humu nimekuja kuisikia 2020 huko kipindi cha Corona.
Nikajiunga kimagumashi 2022 bila mi mwenyewe kutarajia kwa hii miezi 7.
JF imenipa
1. Koneksheni za kutosha
2. Elimu pia ya kutosha
3. Mawazo ya kibiashara
Imenifundisha pia 👇👇👇👇👇
Achia mbali baadhi ya majibu iliyonipatia kwenye maswali yangu mbalimbali. Bila kusahau udakuudaku wa hapa na pale. Na kama sehemu ya kuondolea stress.
Ningejiunga 2016 aseee ningekuwa mbali sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜. Anyway ishapita acha nigange yajayo tu 🤤🤤
Tchao 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
JF IDUMU MILELE.