Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
[emoji3]ahahahah duh kumbe hata kura hujawahi kupiga!?Duuh 2007 nilikuwa na miaka 4 longtime sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]ahahahah duh kumbe hata kura hujawahi kupiga!?Duuh 2007 nilikuwa na miaka 4 longtime sana
[emoji2956][emoji109]Wakuuu za mida,,,
Aseee mimi mwanenu katika vitu ninavyojuta maishani mwangu ni kuchelewa kujiunga humu ndani asee
Jf imekuwa zaid ya kijiwe kwangu
Namshukuru sana Maxence Melo kwa kutengeneza huu mtandao pendwa
Yaani kwanzia 2016 nilikuwa namiliki smartphone ila niliishia FB tu [emoji24][emoji24][emoji24]na IG basi humu nimekuja kuisikia 2020 huko kipindi cha corona
Nikajiunga kimagumashi 2022 bila mi mwenyewe kutarajia kwa hii miezi 7
Jf imenipa
1.koneksheni za kutosha
2.elimu pia ya kutosha
3.mawazo ya kibiashara
Imenifundisha pia [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2617212
Achia mbali baadhi ya majibu iliyonipatia kwenye maswali yangu mbalimbali
Bila kusahau udakuudaku wa hapa na pale
Na kama sehemu ya kuondolea stress
Ningejiunga 2016 aseee ningekuwa mbali sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Anyway ishapita acha nigange yajayo tu [emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786].
Tchao [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
#JF IDUMU MILELE# [emoji43][emoji43][emoji43][emoji43][emoji43][emoji43][emoji43]
[emoji815]Ndio mkuu we umewahi piga mara ngapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah humu ndani tunacheza na watoto wetu wa kuwazaa huku tunajipodoa.Duuh 2007 nilikuwa na miaka 4 longtime sana
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah humu ndani tunacheza na watoto wetu wa kuwazaa huku tunajipodoa.
Madogo wamejiunga juzi tu na wanaforce kufanana na BABA ZAO HUMU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah humu ndani tunacheza na watoto wetu wa kuwazaa huku tunajipodoa.
Marahaba, halafu usijilaumu hiyo 2016 mbona ulikuwa bado sana, ungechanganyikiwa tu na kuchanganya mambo, angalau sahizi ndiyo wakati wake.Shkamoo auntie, za kwako
Kweli yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Haha nimekadiria kama umejiunga 2007 letsay ulikuwa na 25 years saivi zimepita 16 years hivyo ni 25+16 = 41 years bibi [emoji28][emoji51]
Yaan maajabu kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madogo wamejiunga juzi tu na wanaforce kufanana na BABA ZAO HUMU[emoji23][emoji23][emoji23]
Haya asante, karibu sana na usiku mwema.Sawasawa shukran auntie
Amina[emoji120]Na ww pia [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]🫂🫂 usiku mwema ulale unono