Ninajuta kwanini nilichelewa kujiunga JamiiForums nimekosa vingi sana

Ninajuta kwanini nilichelewa kujiunga JamiiForums nimekosa vingi sana

Wakuuu za mida,

Aseee mimi mwanenu katika vitu ninavyojuta maishani mwangu ni kuchelewa kujiunga humu ndani asee.

JF imekuwa zaidi ya kijiwe kwangu.

Namshukuru sana Maxence Melo kwa kutengeneza huu mtandao pendwa.

Yaani kwanzia 2016 nilikuwa namiliki smartphone ila niliishia FB tu ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญna IG basi humu nimekuja kuisikia 2020 huko kipindi cha Corona.

Nikajiunga kimagumashi 2022 bila mi mwenyewe kutarajia kwa hii miezi 7.

JF imenipa
1. Koneksheni za kutosha
2. Elimu pia ya kutosha
3. Mawazo ya kibiashara

Imenifundisha pia ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 2617212

Achia mbali baadhi ya majibu iliyonipatia kwenye maswali yangu mbalimbali. Bila kusahau udakuudaku wa hapa na pale. Na kama sehemu ya kuondolea stress.

Ningejiunga 2016 aseee ningekuwa mbali sana ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Anyway ishapita acha nigange yajayo tu ๐Ÿคค๐Ÿคค

Tchao ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ

JF IDUMU MILELE.
Miye niliifahamu mwaka 2011 wakati enzi zile FB imeanza kuboa

Namshukuru Mussa popote alipo Kwa kunisanua juu uwepo wa jf
 
Pole hata hivyo kwa kuchelewa jF ilikua enzi hizoooo serikali haijaamia Dodoma
 
Haha nimekadiria kama umejiunga 2007 letsay ulikuwa na 25 years saivi zimepita 16 years hivyo ni 25+16 = 41 years bibi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜ฌ

Khaaaaa!!!! Nilikuwa 25 duh!!!! Acha kunizeesha ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sema hawajakwambia wanaume wote humu tuna magari na wote ni ma hechi odiii wa idara mbalimbali

Jf imenipa vyote kasoro mbususus tu
 
Ni kheri nipate milo hata miwili ikiwezekana hata mmoja per day ila siyo kukosa bando la kuingilia humu.



Ndiyo maana mimi mtu akilia shida ya kutaka asaidiwe hela huwa simuelewi iwapo muda mwingi yupo online.

Hela ya bundle anapata wapi lakini akose hela ya kula au nauli n.k ?

Nachukulia kuwa ameona kipaombele kwake ni kununua bundle basi na Mimi hela yangu ina vipaombele vyake tofauti na vyake namwambia sina!
 
  • Thanks
Reactions: 511
Kuna jamaa yangu mmoja alikua anajifanya mjuaji sana, kila mada yumo anamwaga points tu. Nikaja kumfuatilia nikagundua madini anayatoa humu Jamii Forums [emoji3]
 
  • Thanks
Reactions: 511
Wakuuu za mida,

Aseee mimi mwanenu katika vitu ninavyojuta maishani mwangu ni kuchelewa kujiunga humu ndani asee.

JF imekuwa zaidi ya kijiwe kwangu.

Namshukuru sana Maxence Melo kwa kutengeneza huu mtandao pendwa.

Yaani kwanzia 2016 nilikuwa namiliki smartphone ila niliishia FB tu ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญna IG basi humu nimekuja kuisikia 2020 huko kipindi cha Corona.

Nikajiunga kimagumashi 2022 bila mi mwenyewe kutarajia kwa hii miezi 7.

JF imenipa
1. Koneksheni za kutosha
2. Elimu pia ya kutosha
3. Mawazo ya kibiashara

Imenifundisha pia ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 2617212

Achia mbali baadhi ya majibu iliyonipatia kwenye maswali yangu mbalimbali. Bila kusahau udakuudaku wa hapa na pale. Na kama sehemu ya kuondolea stress.

Ningejiunga 2016 aseee ningekuwa mbali sana ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Anyway ishapita acha nigange yajayo tu ๐Ÿคค๐Ÿคค

Tchao ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ

JF IDUMU MILELE.
Bado hujapata Demu hapa JamiiForums?
 
Ndiyo maana mimi mtu akilia shida ya kutaka asaidiwe hela huwa simuelewi iwapo muda mwingi yupo online.

Hela ya bundle anapata wapi lakini akose hela ya kula au nauli n.k ?

Nachukulia kuwa ameona kipaombele kwake ni kununua bundle basi na Mimi hela yangu ina vipaombele vyake tofauti na vyake namwambia sina!
Acha ushamba.
 
Back
Top Bottom