Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba.
Acha mambo yako weweKaribu....JF....Utapata yote hata ya nyuma....usijutie wala
Acha mambo yako wewe!Karibu....JF....Utapata yote hata ya nyuma....usijutie wala
Wewe acha kumuita dada yetu bibi.Mbona 41 ni bado mbichi unaweza oa.Mimi mwenyewe nina 60 ila naitwa mzee sio babu na wadada wa 41.Kwa vitoto vya miaka 20 kushuka ndio vinaniita babu ni haki YaoHaha nimekadiria kama umejiunga 2007 letsay ulikuwa na 25 years saivi zimepita 16 years hivyo ni 25+16 = 41 years bibi [emoji28][emoji51]
Huna hella wewe sio kwa gazeti hili.Ndiyo maana mimi mtu akilia shida ya kutaka asaidiwe hela huwa simuelewi iwapo muda mwingi yupo online.
Hela ya bundle anapata wapi lakini akose hela ya kula au nauli n.k ?
Nachukulia kuwa ameona kipaombele kwake ni kununua bundle basi na Mimi hela yangu ina vipaombele vyake tofauti na vyake namwambia sina!
Big upMimi naishukuru free basic ndio hiliyonifanya nikaingia kwenye huu ulaibu wa kuipenda jamiiforums mana kipindi hiko cna job nipo nipo pesa ya bando aishikiki ndi nkawa nazama kwenye orodha ya mitandao ambayo hipo free basic kupoteza time kipindi navizia michongo kiukweli imenivusha wakati mgumu sanahaaa🤭
Huna hella wewe sio kwa gazeti hili.