Uchaguzi 2020 Ninakusudia kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Buyungu kupitia CCM

Turn out kubwa ya vijana kuchukua form za kugombea uongozi mwaka huu sio "mwamko" inatupa ujumbe fulani. Vyama vimeacha kabisa kuwekeza kwenye kuandaa viongozi kwa kuwajenga katika misingi ya uongozi. Ile dhana ya kazi ngumu na nzuri kuwa msingi wa mafanikio imeshakufa miongoni mwa vijana na kila mmoja anataka shortcut kuelekea mafanikio na njia pekee ni SIASA. Wameshaona mifano kwenye zile nunua nunua na teuzi. Mtu anatarget kuwa nikiukosa ubunge nitasubiri uteuzi.
 
hata katibu kata ni nafasi yenye heshima, wewe ni nani hapo ulipo na una kipi cha kujivunia

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiwa masikini kabisa na uwezo mdogo wa kupambana, hicho cheo kitakuwa cha maana kwako. Ila mwanaume kabisa, tena kijana unayesimamisha vizuri, ni aibu kusema uko kwenye hicho cheo. Hicho cheo kinafaa wazee wasio na ndoto zozote kwenye dunia hii.
 

Ukiona kijana anavaa kaunda suti za kitambaa cha polister kinachong'aa, na travoltar za kizee, jua huyo ni mshamba mwenye mawazo ya kizee, na njaa kali.

Cc: Elia F. Michael
 
Kiukweli kwa sasa huaminiki tena..mwa wananchi umekua kigeugeu malaya wa kisiasa..imani na wananchi haipo tena kwako..labda ubebwe na mbeleko za ukandamizi..ila hautakua chaguo la wananchi...

#MaendeleoHayanaChama.
 
Dogo umeamua kucheza bahati nasibu ya kisiasa. Kwa sasa nafasi za kuchaguliwa haiwezekani tena kwako. Uliharibu kote kote. CCM hawakutaki na upinzani haukutaki pia.

Na usipokuwa makini hata huo ukatibu kata utaupoteza soon (ikiwa Magufuli atasimamia maneno yake ya kuwatumbua wateule wake waliokuwa vimbelembele kwenda kugombea vyeo vingine).

Ushauri wangu kwako, hili liwe funzo kwako, usaliti unaweza kukupa maslahi ya muda mfupi sana lakini usaliti utakutesa maisha yako yote, utaua ndoto zako na utakufanya kudhihakiwa na vizazi vingi vitakavyofuata. Jifunze kwa Yuda Askarioti.
 
Mapeasant ndio picha zao hizo. Huyo dogo huwa anavaa kaunda suit za kitambaa cha polister zinazong'aa, yaani ni mshamba wa kiwango cha lami.
Hahahahahahaha hahahahahaha jamani
 
Huyu jamaa kuna siri kubwa nyuma ya pazia.Huyu Jamaa CCM hakuingia kwa hiari.Inaonekana hakuwa na chaguo jingine zaidi ya kujiunga CCM
 
Nimepitia comments zote, nimemhurumia mtoa mada,...... Pole kijana baki mzee kasema mtosheke na mlichonacho
Halafu hawasemi lo lote wamekazana tu kumpopoa mawe. Alishafanya kosa gani huyu dogo? Si kwa kushambuliwa huku wallaqi !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…