90%+ babu atakuwa kashaungua, haoni tatizo kujipoza na pesa same alizonazo.
Wakiamua kufanya hivyo basi wahakikishe hawezi kuunguzwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka hii ...sponsa niachie mai wanguAna uzoefu wa kutosha sana kazini, ndio maana amemkonga moyo jamaa pamoja na huyo Babu aliyemtakia usiku mwema.
Hapa ma HR wanazidi kupanda madau watakavyo..
Ngoja tuone jinsi atakavyochambu hii miongozoAs a man kuna vitu havihitaji hata ushauri.
Halafu mpaka mpenzi wako akuletee hiyo proposal, ina maana anaujua udhaifu wako.
That was supposed to be a straight break-up, for good.
Mimi nimemshauri wa-team up kumpa babu utamu, hela watapata nyingi zaidi.
Hahahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka hii ...sponsa niachie mai wangu
Muhimu Punguza stress mkuu, Tuliza Akili,piga kazi otoboe. Biriani imezua mazito usiyo yajua Kabla muhimu,umuache Pambana tafuta pesa.Habari jamani naombeni ushauri na naenda moja kwa moja kwenye mada, mwaka ulipita nilipata mpenzi ambae ndio nipo nae hadi leo hii, kiukweli huyu binti ni mzuri wa sura mweupe na ana shape nzuri tu na ni mzigua kutoka tanga, huyu binti kiukweli ni balaa anayajua mapenzi haswa yaan ni level nyingine cjawahi kukutana na msichana anayejua mapenzi na mapishi kama huyu binti.....mapenzi yetu sasa hivi ni mwaka yamefika, sikuwahi
Pole sana mdauHabari jamani naombeni ushauri na naenda moja kwa moja kwenye mada, mwaka ulipita nilipata mpenzi ambae ndio nipo nae hadi leo hii, kiukweli huyu binti ni mzuri wa sura mweupe na ana shape nzuri tu na ni mzigua kutoka tanga, huyu binti kiukweli ni balaa anayajua mapenzi haswa yaan ni level nyingine cjawahi kukutana na
" the more you love, the weaker you are"As a man kuna vitu havihitaji hata ushauri.
Halafu mpaka mpenzi wako akuletee hiyo proposal, ina maana anaujua udhaifu wako.
That was supposed to be a straight break-up, for good.
kupenda ni jambo zuri, mpende ila usipoteze kujiamini.Nampenda sana
Mwanamke hataki demokrasia.....ukimpa huo usengee, ..basi maji utaita MmaUkiwa huna hela mpge pumbu, ukiwa na hela mpige pumbu. inshort fanya mambo yako yote kwa kujiamini. Akiwa kwenye himaya yako, usiende naye kidemokrasia hata sumni, yaan maamuzi yako ndiyo yafuatwe.
Ng'ombe hazeeki maini.
Utapata mwingine aliye bora zaidi pindi utakapopata hela.
Kipindi hicho yeye atakuwa kachakazwa na atatamani akuombe msamaha.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimemshauri wa-team up kumpa babu utamu, hela watapata nyingi zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Sijui amekuelewa....?Huna hela, demu wako anagongwa analeta hela.