Ninampenda ila tabia zake zinanitia hofu


Ahaha ahaha roho ya ki Rwanda [emoji1781][emoji1781]
 

Kazi kazi hii imekaa vizuri sana
 
Nampenda sana
Pole mkuu kulingana na jinsi ulivyosimulia huyo mwanamke keshakengeuka tayari ameshaona humrishishi ki mapato ndiyo maana aliamua kumsifia huyo mzee mwenye hela aliyempata.My take kama unaona uwezo wako kwa sasa uchumi umeshuka achana naye utafute utakayeendana ki mapato vinginevyo ukiendelea kulazimisha mahusiano naye utaletewa magonjwa si unajua ukimwi badi upo bado ni silent killer. Hata huyo baba mdogo ame m serve hivyo tu ili kukudanganyia ni mshikaji wewe umekiri ulipompigia jamaa kakueleza kabisa nenda naye kwa tahadhari.Kazi kwako kufanya maamuzi.
 
Una miaka mingap kwanza?! Maan naona kabisa umejua huyo Dem ni player lkn bado unalazimisha........ usifanye huo mchezo wa kula pesa za jamaa asije akawaoa wote hii dunia ya sasa aiseh ina mambo....ikiwezekan mtumie huyo dem hakufai

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Huyo binti kwenye Avatar yako ni mzuri wa Sura.

Mkuu unamfahamu?
 
Wanaume msio na hela msahau kupendwa kwa dhati katik karne hii wanawake hawatak maneno mazur na nyimbo za njiwa peleka salamu
 
Nishawwwhi kuifanya huu mchezo,haya maisha nikuchagua Tu!kupanga nikuchagua,late JPM

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Changudoa hafugiki kamwe....kakuonyesha dalili zote za ufuska wake, unakaa naye kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…