Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Sawa tumeshajua unatoka milioni na nusu Kila mwezi kwa wazazi.

Hongera mkuu.
Si lengo langu mkuu.
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikambua weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Haujakosea, pia usisahau zawadi mbalimbali maana pesa zinaweza isha zawadi zinadumu hivyo unaweza kununua kitu muhimu ambacho kinawakumbusha kuhusu wewe

ila pia usisahau fungu la Kumi, zaka na sadaka hilo pia ni muhimu sana maana Mungu anapokubariki usisahau kumtolea matoleo kadri ulivyobarikiwa
 
20240830_171735.jpg
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
upo sahihi kabisa kijana. You are the true son of your father. Hata kama umeongeza sifuri kwenye Uzi wako lakini una akili nyingi sana wewe
 
Kuna wazazi wengine huwa wanaweka hela unazowatumia au kuwapa
Na usidhani wazazi wote wanazila hizo hela
Wengine wanasubiri siku ukiyumba utashangaa na yeye anakuita kwa siri na kukuambia hizi za vocha weka mfukoni

What goes around.......
 
Back
Top Bottom