Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

hata haukosei mwaya maana ile ya mama ni yake na ile ya baba itatumika nyumbani so ile unayomuongezea inakua yake tu


ila hela zote hizo unatoa wapi mwenzetu ni freemason au 😂
Kweli tunahitaji kujua,au ni Mwigulu
 
Well done; keep it up. Hiyo 500k unayompa mshua mbele za bimkubwa ujue huaga inakwisha mapema sana cause bimkubwa lazima huaga anaiomba kwa matumizi ya nyumbani, hiyo nyingine ndio inayo mlinda mzee wako akiwa na rafiki zake. Kuna na mwingine nae anafanyaga hivo hivo kwa baba yake. Kiasi fulani anampa mbele ya mama yake while nyingine anampa wakiwa chamber
 
figure_picking_up_trash_lg_wm.gif
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Huko ni kujionyesha tu miosho Yani..kwani Kuna ambaye alikwmbia unakosea humu
 
We zidisha hata mara kumi ukiondoka anampa mke wake zote....
Halaf anampa mke wake huku anamchongea:
"huyu mtoto mjinga sana, yani anataka kututenganisha mimi na wewe, hajui kwamba sisi kitatunga kifo tu??"
Halaf ka mama kake kanajibu:
" haka katoto nimekanyonyesha miezi 9 nimekaachisha halaf hakajui kuwa wewe bado nakunyonyesha mpaka leo?, kajinga sana, heb nipe kwanza hizo 800k halaf kesho mwambie tunadaiwa 700k"😂😂
 
Mtume Muhammad SAW amesema unapowasaidia wazazi wako mama yako unampa mara 3 ya kile unachompa baba yako lakini kwa heshima ya baba unampa yeye mwanzo.

Ni kweli wanaume wana majukumu mengi kuliko wanawake lakini kwa upande wa mama aliteseka zaidi na malezi kwa kukesha kuliko baba ndio mama anapewa kipaumbele.

But hongera sana kuwasaidia wazazi baraka zake Mungu zikufikie wewe na kizazi chako.
 
Mama anachukua kwa Baba ipo hivyo mfano mdogo kuna familia Baba ndio provider Mama Pesa yake sio kwa ajili ya matumizi ya familia hata kidogo Ila Pesa yake kwa ajili ya matumizi mengine hata akiumwa bills zote za matibabu anatoa Baba hata km Mama Pesa anayo Ila hatotoa sababu Pesa zake sio kwa ajili ya matumizi hayo Ila Baba ndio Mlinzi namba 1 na msimamizi wa Familia, majestically Baba ndio Mfalme wa Familia akiwa kinyume chake falme lazima ianguke na kuparaganyika kabisa, kwa hio Mama anapokea Baba kazi yake ni kutoa sasa hapo uzani lazima uelemee upande mmoja kwa hio kutokana na hilo mmoja mwenye kutoa lazima umjazie minyama maana Ile minyama yote hatokaa nayo lazima ataitoa kwa wengine katika hili na lile, sio ubaguzi Ila ndio nature ilivyo
Amin nakwambia binadam yeyote yule ni mnafiki siku ukikoswa hizo pesa. Za kuwapa ndo hutaelewa kuwa duniani kuna watu na viatu
 
Mama anachukua kwa Baba ipo hivyo mfano mdogo kuna familia Baba ndio provider Mama Pesa yake sio kwa ajili ya matumizi ya familia hata kidogo Ila Pesa yake kwa ajili ya matumizi mengine hata akiumwa bills zote za matibabu anatoa Baba hata km Mama Pesa anayo Ila hatotoa sababu Pesa zake sio kwa ajili ya matumizi hayo Ila Baba ndio Mlinzi namba 1 na msimamizi wa Familia, majestically Baba ndio Mfalme wa Familia akiwa kinyume chake falme lazima ianguke na kuparaganyika kabisa, kwa hio Mama anapokea Baba kazi yake ni kutoa sasa hapo uzani lazima uelemee upande mmoja kwa hio kutokana na hilo mmoja mwenye kutoa lazima umjazie minyama maana Ile minyama yote hatokaa nayo lazima ataitoa kwa wengine katika hili na lile, sio ubaguzi Ila ndio nature ilivyo
Shida inakuwa pale unapompa pembeni hii inakuwa km mchongo flan hv kwanini usimpe mbele ya mama hata km ni zaidi maana yeye ndo kichwa pale,au wewe na baba ako mnamuogopa mama enu?
, au mama anashida flan ndo unaamua kumficha?
Je unmuamini kiasi gan mzee km ashiliki vema ktk ujenzi wa familia?
MWISHO.hizo pesa unatoa wap mpaka zingne mmpe baba kifichoni au na wewe unamichongo flan ya makandokando?
 
Back
Top Bottom