Huyu mwenzio anavyocheka sasa umempa chai ya maziwa nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwenzio anavyocheka sasa umempa chai ya maziwa nini!
Kweli tunahitaji kujua,au ni Mwiguluhata haukosei mwaya maana ile ya mama ni yake na ile ya baba itatumika nyumbani so ile unayomuongezea inakua yake tu
ila hela zote hizo unatoa wapi mwenzetu ni freemason au 😂
Hapana sio mwenzangu huyu, mwenzie wa Mtoa mada .Huyu mwenzio anavyocheka sasa umempa chai ya maziwa nini!
😂😂😂😂kabisaKweli tunahitaji kujua,au ni Mwigulu
amenMungu akuinue
maeneo ya uchagani asilimia kubwa wamama wanaziheshimisha sana familia zao sema wengi si waongeajiWe zidisha hata mara kumi ukiondoka anampa mke wake zote....
Huko ni kujionyesha tu miosho Yani..kwani Kuna ambaye alikwmbia unakosea humuKwema ndugu?
Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.
Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.
Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!
Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.
Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.
Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
mdada anamguu huyuatasema sisi ni mahaters
Halaf anampa mke wake huku anamchongea:We zidisha hata mara kumi ukiondoka anampa mke wake zote....
heee ngoja tujadili laki 5 kwanzamdada anamguu huyu
sawa then tutaendeleaheee ngoja tujadili laki 5 kwanza
Nikwel anachosema sie yameshatukutaSio kweli huu ni upotoshaji
Amin nakwambia binadam yeyote yule ni mnafiki siku ukikoswa hizo pesa. Za kuwapa ndo hutaelewa kuwa duniani kuna watu na viatuMama anachukua kwa Baba ipo hivyo mfano mdogo kuna familia Baba ndio provider Mama Pesa yake sio kwa ajili ya matumizi ya familia hata kidogo Ila Pesa yake kwa ajili ya matumizi mengine hata akiumwa bills zote za matibabu anatoa Baba hata km Mama Pesa anayo Ila hatotoa sababu Pesa zake sio kwa ajili ya matumizi hayo Ila Baba ndio Mlinzi namba 1 na msimamizi wa Familia, majestically Baba ndio Mfalme wa Familia akiwa kinyume chake falme lazima ianguke na kuparaganyika kabisa, kwa hio Mama anapokea Baba kazi yake ni kutoa sasa hapo uzani lazima uelemee upande mmoja kwa hio kutokana na hilo mmoja mwenye kutoa lazima umjazie minyama maana Ile minyama yote hatokaa nayo lazima ataitoa kwa wengine katika hili na lile, sio ubaguzi Ila ndio nature ilivyo
Shida inakuwa pale unapompa pembeni hii inakuwa km mchongo flan hv kwanini usimpe mbele ya mama hata km ni zaidi maana yeye ndo kichwa pale,au wewe na baba ako mnamuogopa mama enu?Mama anachukua kwa Baba ipo hivyo mfano mdogo kuna familia Baba ndio provider Mama Pesa yake sio kwa ajili ya matumizi ya familia hata kidogo Ila Pesa yake kwa ajili ya matumizi mengine hata akiumwa bills zote za matibabu anatoa Baba hata km Mama Pesa anayo Ila hatotoa sababu Pesa zake sio kwa ajili ya matumizi hayo Ila Baba ndio Mlinzi namba 1 na msimamizi wa Familia, majestically Baba ndio Mfalme wa Familia akiwa kinyume chake falme lazima ianguke na kuparaganyika kabisa, kwa hio Mama anapokea Baba kazi yake ni kutoa sasa hapo uzani lazima uelemee upande mmoja kwa hio kutokana na hilo mmoja mwenye kutoa lazima umjazie minyama maana Ile minyama yote hatokaa nayo lazima ataitoa kwa wengine katika hili na lile, sio ubaguzi Ila ndio nature ilivyo