Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #21
Kuchapiwa ni Siri ya ndani mkuuanajiongelesha tu, usikute mke wake analiwa hivyo hivyo na bado yuko hai hajazuia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchapiwa ni Siri ya ndani mkuuanajiongelesha tu, usikute mke wake analiwa hivyo hivyo na bado yuko hai hajazuia
nadhani ni desturi tu, maana sio kwamba wali hawali kila siku, kuna familia kila jumapili wanapika pilau lakini sikukuu pilau lazima lipikweWatoto wa mjini wanauita Wali mchafu,.Labda ni uhaba wa mchele ndiyo unafanya ukipikwa watoto kwa wakubwa wafurahie na kukaa karibu na nyumbani siku hiyo.
Upo kama Mimi yaani haipandi kabisaItakuwa waislamu waliiga kwa waarabu, halafu wakristo tukaiga kwa waislamu, ikawa taratibu ya kila mtu
sema mimi binafsi sipendi pilau, bora wali nyama
Hapo ndo Huwa nashindwa kuwaelewa wabongo na pilau siku ya sikukuunadhani ni desturi tu, maana sio kwamba wali hawali kila siku, kuna familia kila jumapili wanapika pilau lakini sikukuu pilau lazima lipikwe
ndio maana na sisi tunaongelea ndani mkuu huku tumepunguza sautiKuchapiwa ni Siri ya ndani mkuu
Daah hongera yakoNapenda pilau na supu ya kuku na jiuce ya parachichi
Mimi hata ukichemsha supu ya kuku tu na niwe na furaha halafu kuweka na mvinyo basi hayo mengine peleka hukoSikukuu siku ya furaha. Siku ya msosi mtamu nao ni pilaoooooo au pilauuu
Mkuu Mimi pilau ni basi tu Kwa vile inakuwa imepikwa nitakula lakini haiuziidi wali mweupe(kawaida) halafu kuweka na nyama ya kuku kienyeji pure kabisaa aseetuwe tunaribishana basi sio kwa kututia majaribuni
Sikukuu mwenzake pilau, huwezi sema sikukuu halafu pilau hamna hiyo sio siku kuu, kwenye Bibilia hamna pilau ila sikukuu walikula nyama ya kuchoma na mikate ndio kulikuwa chakula chao maalumu siku ya sikukuu
Kamuoe wa JPM kwanza tuone kama una maanisha kweliUkifa mkeo ntamuoa mimi tuone itakuwaje
UhakikaCheka na Watoto haiitwi Pilau
Kama unapenda kuoa mke wa marehemu kaanze na mke wa mkapa basi mkuuKuna ulazima gani ukifa mkeo asiolewe?
Cha mtu mavi mkuu shauri yakondio maana na sisi tunaongelea ndani mkuu huku tumepunguza sauti
si umwambie mkeo apike wali msafi na wali mchafu, ndizi pemben na nyama yaani unafanya kabufee kadogoMkuu Mimi pilau ni basi tu Kwa vile inakuwa imepikwa nitakula lakini haiuziidi wali mweupe(kawaida) halafu kuweka na nyama ya kuku kienyeji pure kabisaa asee
Kwahiyo unaishi Kwa shemeji mkuu? Vipi Shem akichafukwa?Nikiwa kama baba mwenye nyumba ya shemeji nimetoka kumaliza pilau na kuku hapa. Nasubiri baba mwenye nyumba ya shemeji alipie king'amuzi niangalie game ya Arsenal. Pilau tamu sana hasa lililopikwa na dada angu
Hapi nyuuu iya
Anajua halafu ugali lazima uwepo mkuu.si umwambie mkeo apike wali msafi na wali mchafu, ndizi pemben na nyama yaani unafanya kabufee kadogo
Namimi nachafukwa mkuuKwahiyo unaishi Kwa shemeji mkuu? Vipi Shem akichafukwa?
Hahaha kwahiyo unakula wali pemben na ugali?Anajua halafu ugali lazima uwepo mkuu.
Eee mkuu.Sasa unakulaje wali pekee yake bila ugali?Hahaha kwahiyo unakula wali pemben na ugali?
Aisee uchafukwe Kwa mwanaume mwenzio?Namimi nachafukwa mkuu