Ninani basi aliyewaambia wabongo pilau lazima ipikwe siku ya sikukuu?

Mkuu Mimi pilau ni basi tu Kwa vile inakuwa imepikwa nitakula lakini haiuziidi wali mweupe(kawaida) halafu kuweka na nyama ya kuku kienyeji pure kabisaa asee
 
Nikiwa kama baba mwenye nyumba ya shemeji nimetoka kumaliza pilau na kuku hapa. Nasubiri baba mwenye nyumba ya shemeji alipie king'amuzi niangalie game ya Arsenal. Pilau tamu sana hasa lililopikwa na dada angu

Hapi nyuuu iya
 

Attachments

  • 20250101_162727.jpg
    1.1 MB · Views: 2
Nikiwa kama baba mwenye nyumba ya shemeji nimetoka kumaliza pilau na kuku hapa. Nasubiri baba mwenye nyumba ya shemeji alipie king'amuzi niangalie game ya Arsenal. Pilau tamu sana hasa lililopikwa na dada angu

Hapi nyuuu iya
Kwahiyo unaishi Kwa shemeji mkuu? Vipi Shem akichafukwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…